Katika hitimisho la miaka 50 tangu kuanzishwa kwa chuo kikuu wasomi mbalimbali amesifu mchango wa chuo hicho katika masuala mbalimbali yanchi lakini wameonesha kutilia shaka baadhi ya wasomi wenzao ambao wamekuwa wakitaka kukichafua chuo hicho kwa kukiweka katika ushabiki wa siasa badala ya kuwa kioo cha kuongoza maendeleo ki falsafa.
Wameshangazwa na mtindo wa baadhi ya viongozi waandamizi wa jumuiya ya wanataaluma UDASA kutumia nyadhifa zao katika vyama vya siasa kuleta makongamano yenye ajenda ya kupigia debe vyama vyao.
Baadhi ya wanataaluma hao wamebainishwa kuwa ni wastaafu na hawapo tena chuo kikuu lakini wamekuwa wakitumia historia ya kuwahi kuwa chuoni hapo kuleta makongamano yenye mtazamo wa upande mmoja. Pia walitilia shaka matumizi ya baadhi ya vyombo vya habari.
Chuo kikuu kina Television yake Mlimani TV, LAKINI BAADHI YA WANATAALUMA WAMEKUWA WAKIITA VYOMBO VYA HABARI AMBAVYO NI VYA BINAFSI NA KURUSHA LIVE MAKONGAMANO HAYO BILA KUWEKA BAYANA NANI WANAFADHILI MATANGAZO HAYO.
WALIWEKA MSIMAMO BAADA YA KUHOJI IWEJE KWENYE MAADHIMISHO YA CHUO KIKUU MBONA HIVYO VYOMBO VYA HABARI HAIVIKURUSHWA SHEREHE ZA MIAKA HAMSINI YA CHUO KIKUU? LABDA KUTAKUWA NA MAJIBU KWENYE HII FORUM
Wameshangazwa na mtindo wa baadhi ya viongozi waandamizi wa jumuiya ya wanataaluma UDASA kutumia nyadhifa zao katika vyama vya siasa kuleta makongamano yenye ajenda ya kupigia debe vyama vyao.
Baadhi ya wanataaluma hao wamebainishwa kuwa ni wastaafu na hawapo tena chuo kikuu lakini wamekuwa wakitumia historia ya kuwahi kuwa chuoni hapo kuleta makongamano yenye mtazamo wa upande mmoja. Pia walitilia shaka matumizi ya baadhi ya vyombo vya habari.
Chuo kikuu kina Television yake Mlimani TV, LAKINI BAADHI YA WANATAALUMA WAMEKUWA WAKIITA VYOMBO VYA HABARI AMBAVYO NI VYA BINAFSI NA KURUSHA LIVE MAKONGAMANO HAYO BILA KUWEKA BAYANA NANI WANAFADHILI MATANGAZO HAYO.
WALIWEKA MSIMAMO BAADA YA KUHOJI IWEJE KWENYE MAADHIMISHO YA CHUO KIKUU MBONA HIVYO VYOMBO VYA HABARI HAIVIKURUSHWA SHEREHE ZA MIAKA HAMSINI YA CHUO KIKUU? LABDA KUTAKUWA NA MAJIBU KWENYE HII FORUM