Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Kuna wasomi walitumia miaka mitano kuwatukana na kuwadhalilisha watu wenye upeo mpana na waliotuzidi maendeleo kwa kuwaita mabeberu. Wasomi hawa walifika wakati wanatuaminisha hata mtanzania mzalendo anayewaza sahihi kuhusu nchi hii anatumiwa na mabeberu.
Kauli mbiu ya mabeberu iliwajaa watu wazima na waliokombolewa kwa elimu nzuri huku wakujua fika kwamba wanachokifanya siyo kile wanachokiamini.
Nikifuatilia kuanzia tarehe 17/03/2021 neno mabeberu alitumiki Tena, hotuba bungeni na michango ya kamati na wabunge mbalimbali haina kitu kinaitwa mabeberu. Tujiulize waliotuaminisha tupo kwenye Vita na mabeberu wameishia wapi? Kwanini walituadaa na kunyamazisha watu kupitia dhana ya ubeberu?
Huko wapi uzalendo wao? Je baada yakulivuruga Taifa wanapewa adhabu gani? Je, wanaofanya mikutano na Mawaziri na hata Mhe. Rais tuendelee kuwaita mabeberu?
Kauli mbiu ya mabeberu iliwajaa watu wazima na waliokombolewa kwa elimu nzuri huku wakujua fika kwamba wanachokifanya siyo kile wanachokiamini.
Nikifuatilia kuanzia tarehe 17/03/2021 neno mabeberu alitumiki Tena, hotuba bungeni na michango ya kamati na wabunge mbalimbali haina kitu kinaitwa mabeberu. Tujiulize waliotuaminisha tupo kwenye Vita na mabeberu wameishia wapi? Kwanini walituadaa na kunyamazisha watu kupitia dhana ya ubeberu?
Huko wapi uzalendo wao? Je baada yakulivuruga Taifa wanapewa adhabu gani? Je, wanaofanya mikutano na Mawaziri na hata Mhe. Rais tuendelee kuwaita mabeberu?