Nianze kwa kumnukuu hayati Baba wa Taifa enzi za uhai wake alipata kusema hivi kuhusu chuo kikuu.
"A university is an institution of higher learning; a place where people's minds are trained for clear thinking, for independent thinking, for analysis, and and for problem solving at the highest level. This is the meaning of a university anywhere in the world"
Kwa tafsiri hiyo ni wazi kuwa jamii inategemea msomi wa chuo kikuu kutoa mchango chanya na kuiunga mkono michango chanya itolewayo na mtu yeyote ktk kusudi la kujenga Taifa. Sio kupinga hoja au kuikubali hoja ktk misingi ya tofauti za kiitikadi za siasa kati mtoa hoja na mchangiaji.
Hivyo basi tunapoona msomi wa chuo kikuu anafanya jambo au anaunga mkono jambo ambalo lina mapungufu makubwa ya kulinganishwa na uwezo wake kulingana na tafsiri ya chuo kikuu, tunapata wasiwasi juu ya hatima ya taifa letu linalokwenda kukabidhiwa kwa wasomi wetu kama viongozi wa kesho!
Tunaposhangaa, sio kama tunashangaa kwamba kwa nini msomi huyo ameshindwa kuwa mpinzani wa kisiasa bali tunashangaa kwa nini ameshindwa kufanya uchambuzi yakinifu na kutoa ushauri wa kujenga na sio kubomoa.
Kila mtu (hata msomi) ana uhuru wa kujoin na chama chochote cha siasa (hata upinzani) kikatiba.
Pia tukumbuke kuwa kila chama ni chama cha upinzani kwa chama kingine labda tuzungumzie upinzani wa serikali na hii haihitaji kuwa mwanachama wa chama kingine, unaweza kuwa ndani ya chama tawala lkn haikuzuii kuwa na mawazo yanayopingana na kauli za serikali labda kama uko ktk Baraza la Mawaziri.
Naomba kuwakilisha.
"A university is an institution of higher learning; a place where people's minds are trained for clear thinking, for independent thinking, for analysis, and and for problem solving at the highest level. This is the meaning of a university anywhere in the world"
Kwa tafsiri hiyo ni wazi kuwa jamii inategemea msomi wa chuo kikuu kutoa mchango chanya na kuiunga mkono michango chanya itolewayo na mtu yeyote ktk kusudi la kujenga Taifa. Sio kupinga hoja au kuikubali hoja ktk misingi ya tofauti za kiitikadi za siasa kati mtoa hoja na mchangiaji.
Hivyo basi tunapoona msomi wa chuo kikuu anafanya jambo au anaunga mkono jambo ambalo lina mapungufu makubwa ya kulinganishwa na uwezo wake kulingana na tafsiri ya chuo kikuu, tunapata wasiwasi juu ya hatima ya taifa letu linalokwenda kukabidhiwa kwa wasomi wetu kama viongozi wa kesho!
Tunaposhangaa, sio kama tunashangaa kwamba kwa nini msomi huyo ameshindwa kuwa mpinzani wa kisiasa bali tunashangaa kwa nini ameshindwa kufanya uchambuzi yakinifu na kutoa ushauri wa kujenga na sio kubomoa.
Kila mtu (hata msomi) ana uhuru wa kujoin na chama chochote cha siasa (hata upinzani) kikatiba.
Pia tukumbuke kuwa kila chama ni chama cha upinzani kwa chama kingine labda tuzungumzie upinzani wa serikali na hii haihitaji kuwa mwanachama wa chama kingine, unaweza kuwa ndani ya chama tawala lkn haikuzuii kuwa na mawazo yanayopingana na kauli za serikali labda kama uko ktk Baraza la Mawaziri.
Naomba kuwakilisha.