Wasomi wa Tanzania wanapogeuzwa vichaa Sababu ya Siasa za majitaka

Madumbikaya

JF-Expert Member
Jun 6, 2018
637
1,901
Moja kati ya makosa makubwa Tanzania ni kuzaliwa familia maskini, Familia maskini hudumaza ufikirishi, Lakini waliozaliwa familia za ufikirishi na kitajiri huwezi kukuta zikipiga magoti kulamba soski za waheshimiwa

Nani asiyejua kuwa mtu mwenye mawazo ya kimaskini hawezi kufanya maendeleo anaishia kujawa chuki na dharau

Wasomi wengi wa Tanzania ni lile Kundi lililoambiwa soma ili upate kazi usukume maisha, Ni msomi gani aliambiwa asome ili alete mawazo mapya kwenye Taifa? Hakuna msomi hata mmoja kwenye hili Taifa mwenye mawazo ya uvumbuzi na ugunduzi zaidi wamekaa kucopy na kupaste kazi za watu

Siasa zimewafanya hawa wasomi waliozaliwa vijijini kujitoa akili na ufahamu wa kawaida yaani common sense wamekaa kuropoka ropoka bila hekima na busara, Nani asiyejua sifa za hawa wanasiasa hama hama

Sifa kubwa ya wasomi wa Tanzania ni mtu kujitambulisha amezaliwa familia maskini sana, Nani asiyejua kabla hawajaulizwa utasikia nilikuwa nachunga mbuzi Mara kondoo, ooh ooh wazazi wangu wameuza vitumbua kunisomesha shule, wamejawa na uwoga na inferiority za kutosha

Wasomi hawa siasa imewafanya wasahau gharama za kufanya uchaguzi, wanaliingiza Taifa hasara wakisahau tambwe zao kuwa wao wamesomeshwa kwa kuuza magimbi na vitumbua, This is shameless

Hizi degree za Tanzania zimegeuka katuni na vituko, Chuo cha zamani Udsm kumbe nacho kilikuwa cha Kata na bado ni chuo cha Kata, Hakuna uvumbuzi wala ugunduzi miaka zaidi ya 40,Wasomi wake ni wale wale wanaojiita maskini kuanzia fikra mpaka familia, Nani asiyejua hawa wanaoropoka na kushindwa kufanya kazi wamesoma Udsm? Tusicheke tena vyuo vya Kata

Siasa ni sayansi kwa wenye fikra za kitajiri na waliozaliwa familia tajiri kwa Afrika, Sishangai yule aliyesema Tanzania ni muungano wa Zimbabwe na takataka gani sijui na huyo alikuwa msomi na mwalimu na kiongozi mwenye mamlaka, Siasa ilimfanya asahau anafanya nini kwenye presentation

Taifa ni ngumu kuendelea Kama wasomi hata kibatari hawawezi kutengeneza, Nini maana ya kuanzisha college za engineering huku wasomi wakijitoa ufahamu na kubaki na fikra za kutembeza vitumbua,, Siasa zimegeuka ukichaa

Naunga mkono kauli ya Pascal humu kuwa kila mtu kichaa, lakini ukichaa wa hawa wasomi wa Tanzania wanaofanya siasa unahatarisha akili za Taifa lijalo, Imefika Sehemu watoto wetu wanataka nao kuhamia ulaya kuunga mkono maendeleo na teknolojia Kama wazazi wao wanavyounga mkono hama hama
 
Yaani tunateketeza mabilioni ya shilingi kwa ajili ya kufanya uchaguzi wa kipuuzi kabisa wa marejeo wa madiwani na wabunge...........

Wakati katika historia ya Taifa letu deni la Taifa letu limepanda na kuwa shilingi trillion 60 kutoka trillion 38 alizotuachia Kikwete mwaka 2015, ambalo ni ongezeko la deni hilo kwa asilimia 64!

Wakati tunashabikia uchaguzi huo wa hovyo hovyo, wafanyakazi serikakini hawajapata annual increment zao ambazo zipo kwa mujibu wa sheria, tokea Jiwe aingie madarakani mwaka 2015!

Na bado Jiwe anajiboast na kutwambia watanzania, eti tutembee kifua mbele na kuwa WE ARE IN THE RIGHT TRACK, kwa kuwa uchumi wa nchi yetu unapaa!
 
Kuna tatizo la msingi, hasa kutumia mapato mengi ya nchi kuendesha siasa. Kuandaa wasomi wanaojitambua ikiwemo wataalamu mbalimbali na watafiti ni swala linalohitaji utashi na commitment kubwa sana ikiwemo kuwa na succession plan inayoeleweka. Leo hii unakuta mtafiti anastaafu kazi, hakuna kitu cha maana alichofanya kuandaa kizazi kipya cha watafiti wala kuacha projects au ideas zozote ambazo hawa vijana wataendelea nazo. Hawana direction yoyote na ukizingatia mambo ya utaalamu na utafiti siyo kipaumbele kama ilivyo siasa, wanajikuta wanakuwa wapiga porojo tu ili mradi siku ziende.
 
Kama elimu ni kuendelea kulipa ada kwenye shule hizi za Tanzania isipokuwa IST na ISM Tuna safari ndefu sana

Elimu hii Kama ukaendelea Hivi ingawa baadhi ya vyuo vinafutwa, kwenye mizania vyuo vyetu vimefail sana sana

Hongereni mlioamua kupeleka watoto Nairobi wanaweza ambulia hata ujanja ujanja wa kutapeli kwa njia za mitandao
 
Dira/Mwelekeo wetu kwenda kwenye maendeleo/ugunduzi/tafiti za kisayansi ulianza kupotea pale tulipoanza kusema zidumu fikra sahihi za mwenyekiti. Hakuna aliyejihoji kama kweli hizo fikra ni sahihi au la. Alisema marehemu Regina Mtema kwamba huwezi kutofautisha Kati ya Professor wa chuo kikuu na mganga wa kienyeji katika bunge la Tanzania. Which is quite true.
 
Lakini Nyalandu alipohamia chadema mlishangilia sana bila kuona gharama za uchaguzi wa marudio.

Ujinga mtupu
 
Yaani tunateketeza mabilioni ya shilingi kwa ajili ya kufanya uchaguzi wa kipuuzi kabisa wa marejeo wa madiwani na wabunge...........

Wakati katika historia ya Taifa letu deni la Taifa letu limepanda na kuwa shilingi trillion 60 kutoka trillion 38 alizotuachia Kikwete mwaka 2015, ambalo ni ongezeko la deni hilo kwa asilimia 64!

Wakati tunashabikia uchaguzi huo wa hovyo hovyo, wafanyakazi serikakini hawajapata annual increment zao ambazo zipo kwa mujibu wa sheria, tokea Jiwe aingie madarakani mwaka 2015!

Na bado Jiwe anajiboast na kutwambia watanzania, eti tutembee kifua mbele na kuwa WE ARE IN THE RIGHT TRACK, kwa kuwa uchumi wa nchi yetu unapaa!
Hapo ndo tunapo fahamu uwezo wa viongozi na kugundua kuwa wana uwezo mdogo sana kwenye kufikiri, huku unahubiri Tanzania ya viwanda huku unachoma hela za maskini was nchi kwa chaguzi za marudio ya kijinga kijinga kabisa.
Wanafiki wakipora majimbo yote kwa kupitia time ya uchaguzi ambayo pia ni ya hovyo kama akili zao na ppolisi ambao nao wapoteza uwezo was kusimamia mjukumu yao. Wanadhani watanzania ni wajinga wataona kuwa wanakubalika na sijui wanataka kuhadaa jumuia za kimtaifa kuwa sana kuballika. Hovyo kabisa toka nchi hii kupata Uhuru hajapata tokea uongozi was hovyo kiasi hiki ,Nazi yao kubwa ni kuteka na kuwapoteza ama kuwauwa kwa kupiga risasi watu wanao on a kuwa sana mawazo kinzani na wao,sasa Leo hilo zimwi LA Uganda lina kuja kutuletea mikosi likirudi utasikia Mara kuna MTU inatakiwa atawale maisha ujinga mtupu.
 
Masikini Tanzania yangu, tumefika huku, hivi kweli,
Uwepo wa jiwe madarakani nani alaumiwe? Jk, ccm, nape, tume ,polisi au wapinzani?
 
Lakini Nyalandu alipohamia chadema mlishangilia sana bila kuona gharama za uchaguzi wa marudio.

Ujinga mtupu
Well said walahi
Hawa ni wakurupukaji tu, hawajui mambo ya mabadiliko ya generation!
Kila kizazi na kazi yake hapa duniani
Ndiyo maana Mola aliwapitisha waisraeli jangwani miaka 40 ili fikra za utumwa ziondoke!
Sasa mleta uzi anakuja hapa na manegative speculations. Tumwombe kwa Mola hayo mawazo yake yawe kwenye kizazi chake na ndugu zake. atuache sisi na Tanzania yetu iliyojaa baraka tele!
ATAKULA MANENO YA KINYWA CHAKE!
That’s all
 
Well said walahi
Hawa ni wakurupukaji tu, hawajui mambo ya mabadiliko ya generation!
Kila kizazi na kazi yake hapa duniani
Ndiyo maana Mola aliwapitisha waisraeli jangwani miaka 40 ili fikra za utumwa ziondoke!
Sasa mleta uzi anakuja hapa na manegative speculations. Tumwombe kwa Mola hayo mawazo yake yawe kwenye kizazi chake na ndugu zake. atuache sisi na Tanzania yetu iliyojaa baraka tele!
ATAKULA MANENO YA KINYWA CHAKE!
That’s all
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana mkuu, Soma habari yote uelewe kilichoandikwa

Tafakari kabla hujachangia, Kama una miaka zaidi ya 18 na hujaelewa thread haupo OK kimaisha
 
Moja kati ya makosa makubwa Tanzania ni kuzaliwa familia maskini, Familia maskini hudumaza ufikirishi, Lakini waliozaliwa familia za ufikirishi na kitajiri huwezi kukuta zikipiga magoti kulamba soski za waheshimiwa

Nani asiyejua kuwa mtu mwenye mawazo ya kimaskini hawezi kufanya maendeleo anaishia kujawa chuki na dharau

Wasomi wengi wa Tanzania ni lile Kundi lililoambiwa soma ili upate kazi usukume maisha, Ni msomi gani aliambiwa asome ili alete mawazo mapya kwenye Taifa? Hakuna msomi hata mmoja kwenye hili Taifa mwenye mawazo ya uvumbuzi na ugunduzi zaidi wamekaa kucopy na kupaste kazi za watu

Siasa zimewafanya hawa wasomi waliozaliwa vijijini kujitoa akili na ufahamu wa kawaida yaani common sense wamekaa kuropoka ropoka bila hekima na busara, Nani asiyejua sifa za hawa wanasiasa hama hama

Sifa kubwa ya wasomi wa Tanzania ni mtu kujitambulisha amezaliwa familia maskini sana, Nani asiyejua kabla hawajaulizwa utasikia nilikuwa nachunga mbuzi Mara kondoo, ooh ooh wazazi wangu wameuza vitumbua kunisomesha shule, wamejawa na uwoga na inferiority za kutosha

Wasomi hawa siasa imewafanya wasahau gharama za kufanya uchaguzi, wanaliingiza Taifa hasara wakisahau tambwe zao kuwa wao wamesomeshwa kwa kuuza magimbi na vitumbua, This is shameless

Hizi degree za Tanzania zimegeuka katuni na vituko, Chuo cha zamani Udsm kumbe nacho kilikuwa cha Kata na bado ni chuo cha Kata, Hakuna uvumbuzi wala ugunduzi miaka zaidi ya 40,Wasomi wake ni wale wale wanaojiita maskini kuanzia fikra mpaka familia, Nani asiyejua hawa wanaoropoka na kushindwa kufanya kazi wamesoma Udsm? Tusicheke tena vyuo vya Kata

Siasa ni sayansi kwa wenye fikra za kitajiri na waliozaliwa familia tajiri kwa Afrika, Sishangai yule aliyesema Tanzania ni muungano wa Zimbabwe na takataka gani sijui na huyo alikuwa msomi na mwalimu na kiongozi mwenye mamlaka, Siasa ilimfanya asahau anafanya nini kwenye presentation

Taifa ni ngumu kuendelea Kama wasomi hata kibatari hawawezi kutengeneza, Nini maana ya kuanzisha college za engineering huku wasomi wakijitoa ufahamu na kubaki na fikra za kutembeza vitumbua,, Siasa zimegeuka ukichaa

Naunga mkono kauli ya Pascal humu kuwa kila mtu kichaa, lakini ukichaa wa hawa wasomi wa Tanzania wanaofanya siasa unahatarisha akili za Taifa lijalo, Imefika Sehemu watoto wetu wanataka nao kuhamia ulaya kuunga mkono maendeleo na teknolojia Kama wazazi wao wanavyounga mkono hama hama
Nina wasiwasi na kiwango chako cha elimu. ila tambua tu kusoma hakumfanyi msomi akubaliane na wewe kifikra. Hakuna mwaka ambao nchi hii 8likaa bila chaguzi ndogo. zilikuwepo na zipo tu. hivi mmezaliwa jana? Au kwa kuwa sasa zimezidi? wa kwanza kulaumiwa ni yule aliyeteua wagombea ambao ni wepesi kupeperushwa na upepo. Unapoteua wagombea ambao watahama, watanunuliwa nk tegemea chaguzi ndogo nyingi. Mnataka wasomi wafanyaje? wazue watu kuhama? No. wanahama. je wananchi wasio na kosa wakose uwakilishi? No. Wasomi wafanyaje? waikaripie serikali kwa kuendesha chaguzi ndogo?
 
Nina wasiwasi na kiwango chako cha elimu. ila tambua tu kusoma hakumfanyi msomi akubaliane na wewe kifikra. Hakuna mwaka ambao nchi hii 8likaa bila chaguzi ndogo. zilikuwepo na zipo tu. hivi mmezaliwa jana? Au kwa kuwa sasa zimezidi? wa kwanza kulaumiwa ni yule aliyeteua wagombea ambao ni wepesi kupeperushwa na upepo. Unapoteua wagombea ambao watahama, watanunuliwa nk tegemea chaguzi ndogo nyingi. Mnataka wasomi wafanyaje? wazue watu kuhama? No. wanahama. je wananchi wasio na kosa wakose uwakilishi? No. Wasomi wafanyaje? waikaripie serikali kwa kuendesha chaguzi ndogo?
Soma uelewe kilichoandikwa, Usilete taarabu, Soma kwanza mkuu

Hicho Kichwa ulichobeba juu ya mabega ni kwa ajili ya kusoma, hicho Kichwa sio mzigo wa kuni, soma uelewe
 
Usiseme wasomi. Sema 'wale wanaoitwa au wanaojiita kuwa ni wasomi'. Toka lini Tanzania ya kizazi hiki nayo ikawa na wasomi?
 
Moja kati ya makosa makubwa Tanzania ni kuzaliwa familia maskini, Familia maskini hudumaza ufikirishi, Lakini waliozaliwa familia za ufikirishi na kitajiri huwezi kukuta zikipiga magoti kulamba soski za waheshimiwa

Nani asiyejua kuwa mtu mwenye mawazo ya kimaskini hawezi kufanya maendeleo anaishia kujawa chuki na dharau

Wasomi wengi wa Tanzania ni lile Kundi lililoambiwa soma ili upate kazi usukume maisha, Ni msomi gani aliambiwa asome ili alete mawazo mapya kwenye Taifa? Hakuna msomi hata mmoja kwenye hili Taifa mwenye mawazo ya uvumbuzi na ugunduzi zaidi wamekaa kucopy na kupaste kazi za watu

Siasa zimewafanya hawa wasomi waliozaliwa vijijini kujitoa akili na ufahamu wa kawaida yaani common sense wamekaa kuropoka ropoka bila hekima na busara, Nani asiyejua sifa za hawa wanasiasa hama hama

Sifa kubwa ya wasomi wa Tanzania ni mtu kujitambulisha amezaliwa familia maskini sana, Nani asiyejua kabla hawajaulizwa utasikia nilikuwa nachunga mbuzi Mara kondoo, ooh ooh wazazi wangu wameuza vitumbua kunisomesha shule, wamejawa na uwoga na inferiority za kutosha

Wasomi hawa siasa imewafanya wasahau gharama za kufanya uchaguzi, wanaliingiza Taifa hasara wakisahau tambwe zao kuwa wao wamesomeshwa kwa kuuza magimbi na vitumbua, This is shameless

Hizi degree za Tanzania zimegeuka katuni na vituko, Chuo cha zamani Udsm kumbe nacho kilikuwa cha Kata na bado ni chuo cha Kata, Hakuna uvumbuzi wala ugunduzi miaka zaidi ya 40,Wasomi wake ni wale wale wanaojiita maskini kuanzia fikra mpaka familia, Nani asiyejua hawa wanaoropoka na kushindwa kufanya kazi wamesoma Udsm? Tusicheke tena vyuo vya Kata

Siasa ni sayansi kwa wenye fikra za kitajiri na waliozaliwa familia tajiri kwa Afrika, Sishangai yule aliyesema Tanzania ni muungano wa Zimbabwe na takataka gani sijui na huyo alikuwa msomi na mwalimu na kiongozi mwenye mamlaka, Siasa ilimfanya asahau anafanya nini kwenye presentation

Taifa ni ngumu kuendelea Kama wasomi hata kibatari hawawezi kutengeneza, Nini maana ya kuanzisha college za engineering huku wasomi wakijitoa ufahamu na kubaki na fikra za kutembeza vitumbua,, Siasa zimegeuka ukichaa

Naunga mkono kauli ya Pascal humu kuwa kila mtu kichaa, lakini ukichaa wa hawa wasomi wa Tanzania wanaofanya siasa unahatarisha akili za Taifa lijalo, Imefika Sehemu watoto wetu wanataka nao kuhamia ulaya kuunga mkono maendeleo na teknolojia Kama wazazi wao wanavyounga mkono hama hama
Hawa wanaitwa wasomia tumbo
 
Back
Top Bottom