SomaSwali la kishenzi sana, sijasoma uzi..
Umeelewa kweliKwamba return imeptkn wapi zaidi km si wanataaluma. Stupid question .watu wanapenda kucriticise wasomi na inasense 7bu watz tuna ushabiki wa kipimbi
Hawa wasomi wetu kila kukicha wanajitapa na kijisifia na wengine wapo humu JF kuwa ni wasomi..
Njoo Geita nikuoneshewewe umeisaidia nini nchi mpaka mda huu?
Lengo siyo kubishana ni kujadili hali ilivyo.Sina maandalizi ya kubishanawewe umeisaidia nini nchi mpaka mda huu?
Kipindi tunasheherekea uhuru uliochangiwa na wanataaluma tuna mengi sana ya kuangalia na ninaomba ninapotumia neno wanataaluma nieleweke kuwa namaanisha hata Watemi wetu na wazee wa jadi kule kijijini ni wanataalumahii mada ni nyeti sana,inafaa kujadiliwa kwa kina na haowasomi ili sisi tulioishia darasa la pili b tusome comments tu,lakini cha ajabu hao wasomi kama kina le profesa mwaluko aidani anamsifu le stone kwa kumtoa jalalani,sasa tutegemee nini kama hao ndo maprofesa,