Kabembe
JF-Expert Member
- Feb 11, 2009
- 2,548
- 1,741
Unategemea nini kutoka kwa mtu aliyekuwa akilazimishi akili kukariri usiku kucha kwa kuweka miguu kwenye beseni la maji baridi ili kesho akajibu mitihani? Nakumbuka mwishoni mwa miaka ya 90 Reginald Mengi akiwa mwenyekiti wa baraza la mazingira alitembelea UDSM na kuwashangaa Maprof wakiendesha vimiradi vya kufuga kuku na ng'ombe watatu au wawili ili kupata lita tano au 10 za kuuza tena katika mazingira ya chuo!