Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 3,542
- 3,451
Haa....haa. ukilaza ndiyo njia ya kujua suala la msingi ni wanataaluma waache ukanjanjaMwenye nchi kashawaita vilaza unataka nn tena.
Kwenye wanasiasa wasomi wapo lakini ulindaji maslahi ndio tatizo.Kwani kwenye wanasiasa hakuna wasomi?Jaribu kufuatilia ni nafasi ngapi za kisiasa zimeshikiliwa na wasomi na wamefanya nini?