GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,546
- 108,876
Je hapa Chuo Kikuu cha UDSM hakijadharauliwa?
Tujadili.
Tujadili.
Funguka mkuu, nani kasema hivyo, wakati gani, akiwa anafanya nini...ongeza nyama kwenye post yangu
Ukiacha kufanya ulichosomea inaungana na Walaghai na Wasanii, Wafitini na Wazandiki lazima utukanwe.
Chuo hakijadharaurika, wahusika ndio Mazombi.
Kwani lini kiliheshimika?Je hapa Chuo Kikuu cha UDSM hakijadharauliwa?
Tujadili.
Uncle wangu ni prof pale....i wakat nafuatilia kuchagua vyuo few years ago after form six, he told me usichague UD...sikumuelewa ikabd nimuulize kwann, akaniambia this institution is no longer......i said why ? He then told me...just do what i advice you! Sijajua aliona nini maana ni few years ago yan
Kwakweli hakuwahi niambia ila hili la juzi limenitafakarisha sana yanYawezekana labda Yeye hili neno Pumbavu aliwahi Kulisikia likitajwa kwa Wasomi wa hapo kabla ya Rais JPM Kulihitimisha rasmi ile Juzi pale Ikulu aliposema kuwa amewashawaambia Pumbavu akina Kabudi na Mpango ila wameamua Kunyamaza tu.
Kwani lini kiliheshimika?
Sasa sio wapumbavu? Mfano Lipumba sio mpumbavu?Je hapa Chuo Kikuu cha UDSM hakijadharauliwa?
Tujadili.
Kwakweli hakuwahi niambia ila hili la juzi limenitafakarisha sana yan
LipumbavuSasa sio wapumbavu? Mfano Lipumba sio mpumbavu?
Sasa sio wapumbavu? Mfano Lipumba sio mpumbavu?
Sio wote ila wapumbavu wapo wengi sanaKwahiyo Mkuu nikikutana na Mtu aliyesoma hapo UDSM nianze Kuwapuuza kama siyo Kuwadharau kwakuwa tayari Rais JPM ameshahitimisha kwa kuwaambia akina Kabudi na Mpango hilo neno alilowaita?
It mighty be brotherMshukuru sana kwani amekuepusha nawe kuja kuitwa Mpumbavu kama hao Wasomi / Wanazuoni akina Kabudi na Mpango ambao wametokea hapo hapo UDSM.
Pumbavu ni neno LA kawaida,kama ambavyo neno dhaifu linapotumika.
Bora mpumbavu kuliko mjinga.