Wasomi wa afya na Wakemia Tanzania, mbona kimya kuhusu ugunduzi wenu wa dawa ya Coronavirus?

Hiiiii

Ova
IMG-20200327-WA0029.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta uzi kaeleweka ila baadhi ya wanajukwaa wanaanz kukosoa haeleweki kisa tu Pascal mayalla kaurekebisha heading.
Tunajifunza nini hapo?!
 
Hizo kamati zilizoundwa naona zimejaa wanasihasa tu, typical african, yaani mwanasihasa ndo mjuzi wa kila kitu, anatokeza tu kwenye makamera kabla hajapewa taarifa na wataalamu
 
Ni muda mrefu pia serikali kupitia wizara ya Afya haija ajiri Wakemia sijui kwanini maana hao wakikaa na wafamasia meza moja hakishindikani kitu.
Acha tuendelee kuzarau chemistry, mimi naona chemistry ndio kila kitu kwenye ugunguzi wa dawa
Kwani hao wanaofanya utafiti huko unaposema dawa wamepata?

Sent using Jamii Forums mobile app
Watapata tu, hata kama hawatapa lakin wanajishughurisha, sisi elimu zetu mbona hazitumiki
 
Ungetuwekea mfano, Rwanda, Kenya, Uganda, DRC, Misri n.k. wamegundua dawa gani nasi tujifunze.

Sent from my SM-A720F using Tapatalk
Achana na nchi za kiafrica mkuu, wala hizo usiziige huko China hadi wanafunzi wapo wanafanya utafiti wa dawa sis je tuko wapi, elimu yetu ni nini
 
Washawahi gundua dawa yoyote ile kabla?
Sasa ndio wabadirike waanze Sasa, sio kusubiria dawa za wazungu wakati tuna miti kibao, tuna mimea kibao unaweza fanya extraction maabara ukapata dawa au unaweza pia ku formulate dawa kwasababu formula ya kirusi si inajulikana, unaweza ku simulate ukajua unaanzia wapi formulation yako . Sina hakika kama wanaijua hata formula ya kirusi
 
Tatizo wale wale Adui wakubwa wa Mwalimu,
Yani huwezi pata au kugundua dawa kwasababu tunawaza sana matumbo yetu,ngono na Wadada wanawaza muonekano..
Hii ni kwasababu ya (UMASKINi)
Na ni maskini kwasababu ya (MARADHI-MAGONJWA kama COVID 19) yanazohoficha uchumi wetu,yani badala ya kupambana na umaskini tunapambana na hilo gonjwa kwa hofu,kukaa ndani na kufunga shule na vyuo hivyo inafanya tuwe na (UJINGA)

Yani mwalimu alikua Genius, yani hatutoka kwenye hiyo circle..
Yani ni
UMASKINI-UJINGA-MARADHI-UMASKINI..

pia vyuo Mashule huja na project nyingi haswa na zinafia kwenye mbao za malecturer,walimu na maprofesor....
Hata leo mimi nikisema dawa na kinga ya COVID 19.ni elimu tu..
Wewe hapo unayesoma utakuwa wakwanza kubisha,utadharau au utasema imethibitishwa kimataifa....

Mkuu udsm/,muhas/kcmc/bugando pale njoo hata na tafiti yako ndogo

Wakuu wasomi wa kujaza midigrii kwenye ndroo zenu,yani mnasoma ili iweje,yani hata mwarobaini tumeushindwa kusindika tutaweza Dawa ya Covid,
Yani hebu angalia makampuni makubwa kama Ya bia na soda badala ya kuchukua opportunity ya corona kutengeneza sanitizer nyingi wakayi huu kwa formula ndogo tu ya chlorine ya alkohol

Hata sijui nimeandika nini
 
Bongo tunafundishwa Applications ya kitu kilicho tengenezwa na mtu mwingine, na ndo maana hutakaa usikie tumegundua dawa ya kutibu.

Waganga wa kienyeji ndo wanaumiza vichwa kupata dawa za kutibu ata nguvu za kiume, kama babu wa loliondo.

Pharmacy ndo kabisaa unafundishwa dawa ilio tengenezwa na mzungu na ww uitengeneze,

Uko kwingine dah kupima wadudu, patient care, diagnosis, na kupasua majipu
 
Acha tuendelee kuzarau chemistry, mimi naona chemistry ndio kila kitu kwenye ugunguzi wa dawa
Watapata tu, hata kama hawatapa lakin wanajishughurisha, sisi elimu zetu mbona hazitumiki
Ngoja tusubiri kwa kuwa miundombinu ya Afya ishakuwa vizuri sasa hivi nadhani ni wakati wa serikali kuajiri Wakemia na wafamasia angalau kuwe na kitengo cha kutengeneza dawa maana ni rahisi,viwanda vya dawa tunavyo tayari.Tuwatumie wataalamu wetu.
 
Nimefutilia mataifa mbalimbali kupitia mitandao naona madaktari na wakemia wakitaja dawa mbalimbali katika ugunduzi wa tiba ya Corona lakini Tanzania naona fofofo.

Sasa najiuliza pale Muhimbili University na Bugando mnajifunza kuosha vidonda tuu? Au ni vyuo vya ujenzi wa Maghorofa?

Hivi Tanzania tunasomesha wataalamu wa Afya au tunakaririsha watu jinsi ya kutoa dawa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sindano tu ya kuwachoma dawa wagonjwa imewashinda kutengeneza tunaagiza nje ya nchi, chanjo/dawa ya corona ndiyo uvumbuliwe Tanzania!! Acha masihala shegh wangu.

Subilia wenye ubongo uliyojaa ndani ya vichwa wahangaishe ubongo wao waipate dawa watuuzie dawa tuchanjwe dawa tupone na dawa ya wataalam wa dawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom