KOLOKOLONI
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 2,477
- 2,360
- Thread starter
- #21
Kwahiyo mpaka sasa wataalamu wetu ni sawa tu na Mimi Kolokoloni wa Muhindi hapa getini . Hakuna juhudi zozote za kitafiti zinazoendelea?Ni muda mrefu pia serikali kupitia wizara ya Afya haija ajiri Wakemia sijui kwanini maana hao wakikaa na wafamasia meza moja hakishindikani kitu.
Sent using Jamii Forums mobile app