Wasomi tunaomba ufafanuzi kwenye hili

1552389339872.png
 
Tofauti ya wasomi wa nchi zilizoendelea na zisizoendelea ni moja wasomi wa nchi zilizoendelea na tajiri hujikita kwenye solution wakati wasomi wa nchi zisizoendelea hujikita kwenye maswali.

Ili upate solution ya jambo lolote, ni lazima kwanza kujiuliza maswali kama haya na kuyajibu ipasavyo na kwa ukamilifu wake:

What?
Why?
Where?
Who?
How?
When?
Then?
Next.....!?? nk

Ukikimbilia kwenye solutions tu bila kujiuliza na kujijibu maswali haya kikamilifu, utakuwa kama "Jiwe" ambaye hukurupuka tu from no where ktk mambo mengi anayoamua na kutenda...!!

Chukulia mfano ishu ya korosho iliyokurupukiwa na "serikali ya Jiwe" ilivyobuma.....

Ili utatue na irudi kwenye "ze lait trak", huwezi kukwepa kujiuliza na kupata majibu yakinifu kwanza kwa maswali hayo hapo juu kabla ya kutafuta solution yake...!!!
 
Ili upate solution ya jambo lolote, ni lazima kujiuliza maswali kama:
What?
Why?
Where?
Who?

Ukikimbilia kwenye solutions tu bila kujibu maswali haya kikamilifu, utakuwa kama "Jiwe" ambaye hukurupuka tu from no where ktk mambo mengi anayoamua na kutenda...!!
Aiseee !!
 
Tofauti ya wasomi wa nchi zilizoendelea na zisizoendelea ni moja wasomi wa nchi zilizoendelea na tajiri hujikita kwenye solution wakati wasomi wa nchi zisizoendelea hujikita kwenye maswali.

Maelezo yako yanakiri kuwa ww si msomi??!!!



Unashindwa kuleta Hoja ya kutafuta ufumbuzi wa kushuka Export ya Koroshow....
 
Ili upate solution ya jambo lolote, ni lazima kujiuliza maswali kama:
What?
Why?
Where?
Who?

Ukikimbilia kwenye solutions tu bila kujibu maswali haya kikamilifu, utakuwa kama "Jiwe" ambaye hukurupuka tu from no where ktk mambo mengi anayoamua na kutenda...!!
Hayo maswali unatakiwa ujiulize wewe kama msomi au uulize laymen ambao hawajasoma wakupe majibu? Mfano hilo table wasomi mabwege nyie mnamuuliza nani awape majibu?
 
Mkuu hio inasababishwa na kuimarika kwa dola dhidi ya shillingi ya Tanzania hio ni kwa mujibu ya wasomi wa Tanzania
 
Ili upate solution ya jambo lolote, ni lazima kwanza kujiuliza maswali kama na kuyajibu ipasavyo kwa ukamilifu waje:

What?
Why?
Where?
Who?
How?
When?
Then?
Next.....!?? nk

Ukikimbilia kwenye solutions tu bila kujiuliza na kujijibu maswali haya kikamilifu, utakuwa kama "Jiwe" ambaye hukurupuka tu from no where ktk mambo mengi anayoamua na kutenda...!!
Kifupi wasomi wa nchi hii baadhi majanga hayo maswali unatakiwa ujiulize mwenyewe kama msomi sio kuuliza laymen wakujibu.Wasomi wa nchi hii baadhi ni wasomi pilato type.Msiomjua Pilato ni kuwa alikuwa jaji aliyesomea na kubobea kwenye sheria alipopelekewa kesi ya Yesu aihukumu badala ya kuangalia fani yake na vitabu vya Sheria vinasemaje akaenda na maswali kwenye public akiwa learned brother jaji akauliza umati uliohudhuria kesi wa Laymen ambao hawajui sheria akawauliza nimpe hukumu gani huyu Yesu as if hajui vitabu vyake vya Sheria vinasemaje? Wakasema asulubiwe asulubiwe akaamuru asulubiwe .Ndio maana nahoji hayo maswali wewe kama msomi unahoji nani ? Mimi naona ni miswali ya ki.pilato tu.Pilato alikuwa msomi bwege kama msomi huyu mleta mada
 
Hayo maswali unatakiwa ujiulize wewe kama msomi au uulize laymen ambao hawajasoma wakupe majibu? Mfano hilo table wasomi mabwege nyie mnamuuliza nani awape majibu?

Jiulize wewe na kwa yeyote anayeweza kukupa jibu haijalishi ni nani.....

Na hii kitu ni kwa yeyote anayevuta pumzi na kuishi...

By the way, nakushauri ufute kauli yako ya "layman" kwa sababu in one way or another, kila mtu anajua kitu fulani na si kila mtu hajui lolote na chochote....

Hata Bwana John Pombe Magufuli (Rais wa TZ kwa sasa) haina maana kuwa ni mbaya kabisa 100%....

Hapana, anayo mazuri yake. Kama binadamu anao upande wake wa uzuri unaoweza kuwasaidia watu na jamii...

In my opinion, hakuumbwa kushika nafasi ya uongozi aliyonayo sasa...!!

I am very sorry kama nitakuwa nimekuudhi kwa kauli hii. Lakini huo ni mtazamo wangu. Unaweza kunipuuza tu ama ukakubaliana nami....

I have no problem with that
 
View attachment 1043644[/Q
Hii Bar chati inaonyesha mazao tuyaouza nje ya nchi pamoja na ufanisi wake katika masoko ya nje. Mwaka 2018 mazao yaliyofanya vizuri ni Korosho, Tumbaku na Kahawa.
Katika mwaka 2019, mazao yaliyokuwa na ufanisi mzuri katika masoko ya nje ni Tumbaku, Kahawa na Pamba. Zao la korosho ufanisi wake umeporomoka sana yaani kutoka Tani 578.4 hadi tani 25.2. Ilhali pamba, Kahawa na tumbaku zikionyesha ongezeko katika ufanisi.
Kwenye mporomoko wa ufanisi kwa zao la korosho kunahitaji utafiti jadidifu ili kubaini sababu kuu zilizosababisha huo mporomoko. Ni eneo ambalo watafiti wanatakiwa waje watueleze kwa sababu za kisayansi zilizosababisha huo mporomoko.
 
Jiulize wewe na kwa yeyote anayeweza kukupa jibu haijalishi ni nani.....

Na hii kitu ni kwa yeyote anayevuta pumzi na kuishi...

By the way, nakushauri ufute kauli yako ya "layman" kwa sababu in one way or another, kila mtu anajua kitu fulani na si kila mtu hajui lolote na chochote....

Hata Bwana John Pombe Magufuli (Rais wa TZ kwa sasa) haina maana kuwa ni mbaya kabisa 100%....

Hapana, anayo mazuri yake. Kama binadamu anao upande wake wa uzuri unaoweza kuwasaidia watu na jamii...

In my opinion, hakuumbwa kushika nafasi ya uongozi aliyonayo sasa...!!

I am very sorry kama nitakuwa nimekuudhi kwa kauli hii. Lakini huo ni mtazamo wangu. Unaweza kunipuuza tu ama ukakubaliana nami....

I have no problem with that
Mleta hoja kajitambulisha kuwa ni msomi na wasomi wote wanataka jibu sasa kama wasomi wameungana kuuliza swali tusio wasomi tujibu nini hoja ya wasomi wanaotaka jibu.Wewe umetupamba kwa kilemba cha ukoka kuwa hata asiyesoma ana solution . Asante kwa hilo.Hili andiko lako vizuri ungemjibu mleta mada kuliko kunijibu Mimi.Mpe hili jibu mleta mada
 
Kifupi wasomi wa nchi hii baadhi majanga hayo maswali unatakiwa ujiulize mwenyewe kama msomi sio kuuliza laymen wakujibu.Wasomi wa nchi hii baadhi ni wasomi pilato type.Msiomjua Pilato ni kuwa alikuwa jaji aliyesomea na kubobea kwenye sheria alipopelekewa kesi ya Yesu aihukumu badala ya kuangalia fani yake na vitabu vya Sheria vinasemaje akaenda na maswali kwenye public akiwa learned brother jaji akauliza umati uliohudhuria kesi wa Laymen ambao hawajui sheria akawauliza nimpe hukumu gani huyu Yesu as if hajui vitabu vyake vya Sheria vinasemaje? Wakasema asulubiwe asulubiwe akaamuru asulubiwe .Ndio maana nahoji hayo maswali wewe kama msomi unahoji nani ? Mimi naona ni miswali ya ki.pilato tu.Pilato alikuwa msomi bwege kama msomi huyu mleta mada

Thank you again

Soma post yangu #68 hapo juu...

Na kwa kukuongezea tu ni hivi...

Kwa issue ya Pilato ni kuwa, tafsiri ya kitendo chake hicho kwa leo tunaweza kusema ni kujitoa kwenye kusimamia kesi ambayo nguvu iliyo nje ya utaratibu wa kisheria inanamlazimisha kutenda kinyume.....

Baada ya kuona kuwa analazimishwa kuhukumu kinyume na taratibu, alinawa mikono na kuwaachia wao watende waonavyo inafaa...

Na he did the right thing na ndiyo usomi na uungwana huo!!

Swali ni hili :

Vipi viongozi na wasimamia haki na sheria wetu wa leo, wanaweza kufanya hivi?

Rais Magufuli anaweza kunawa mikono kweli au anataka kutenda lile atakalo litendeke??
 


Hii Bar chati inaonyesha mazao tuyaouza nje ya nchi pamoja na ufanisi wake katika masoko ya nje. Mwaka 2018 mazao yaliyofanya vizuri ni Korosho, Tumbaku na Kahawa.
Katika mwaka 2019, mazao yaliyokuwa na ufanisi mzuri katika masoko ya nje ni Tumbaku, Kahawa na Pamba. Zao la korosho ufanisi wake umeporomoka sana yaani kutoka Tani 578.4 hadi tani 25.2. Ilhali pamba, Kahawa na tumbaku zikionyesha ongezeko katika ufanisi.
Kwenye mporomoko wa ufanisi kwa zao la korosho kunahitaji utafiti jadidifu ili kubaini sababu kuu zilizosababisha huo mporomoko. Ni eneo ambalo watafiti wanatakiwa waje watueleze kwa sababu za kisayansi zilizosababisha huo mporomoko.
 
Kila binadamu anajifunza kutokana na makosa. Suala korosho limetupa funzo kubwa. Msimu ujao tusirudie makosa tuliofanya kuhusiana na korosho msimu huu. Nawasilisha.
 
Mleta hoja kajitambulisha kuwa ni msomi na wasomi wote wanataka jibu sasa kama wasomi wameungana kuuliza swali tusio wasomi tujibu nini hoja ya wasomi wanaotaka jibu.Wewe umetupamba kwa kilemba cha ukoka kuwa hata asiyesoma ana solution . Asante kwa hilo.Hili andiko lako vizuri ungemjibu mleta mada kuliko kunijibu Mimi.Mpe hili jibu mleta mada

Soma tena unielewe....

Labda tuna uelewa tofauti wa mambo...

Mwalimu darasani anapofundisha kwa njia ya maswali wanafunzi wake haina maana kuwa yeye hajui....

Na kumbuka pia kuwa mwalimu haina maana kuwa wewe unajua yote, unajua kila kitu... HAPANA KABISA!!

Toa mawazo yako juu ya hilo na kwa pamoja twaweza kuja na jibu la swali!!
 
Tofauti ya wasomi wa nchi zilizoendelea na zisizoendelea ni moja wasomi wa nchi zilizoendelea na tajiri hujikita kwenye solution wakati wasomi wa nchi zisizoendelea hujikita kwenye maswali.
Lumumba bana,
Utatafuta Solution bila kujua swali linahusu nini?
 
Tofauti ya wasomi wa nchi zilizoendelea na zisizoendelea ni moja wasomi wa nchi zilizoendelea na tajiri hujikita kwenye solution wakati wasomi wa nchi zisizoendelea hujikita kwenye maswali.
YEHODAYA nyie endeleeni kutembea kifua mbere mko kwenye rait traki
 
Back
Top Bottom