Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Naona ma home boy mnaparulanaKaribu sana Msukuma, napendaga sana futuhi zako.
Una-management?
Naona ma home boy mnaparulanaKaribu sana Msukuma, napendaga sana futuhi zako.
Una-management?
Huyu siyo mbeba mabox kama weweHujajibu maswali yangu? Au yamekushinda kuyajibu?
Umemaliza kazi kwa huyo matagaKilaza kama wewe huwezi niuliza swali nikashindwa
Siulizwagi maswali na watu wa darasa la saba. Tafuta size yako Mzee sawa?
Unachoweza ku-share na mimi ni vichekesho vyako, sawa Mzee!!
Mataga leo hii umekutana na kauzu mwenzakoBado hujayajibu maswali yangu!
Nimekuuliza maswali. Sijakuomba utoe mapovu.
Haya, yajibu basi maswali yangu.
Punguza matusi wewe ngoosha jibu unacho ulizwaNaona unatokwa mapovu katika matundu yote saba ulonayo mwilini
LA saba wengi tuna hela lakini hatuna mahesabu ya kisomi,lol.View attachment 1753679
So hapo nao wameelewa siyo?🤣Ipo hivyo boss
Mlevi ukiongea naye utatumia lugha ya wapi Shekhe?
Bira shaka=Bila shaka.Hari yenu humu!
Bira shaka mpo wazima.
Sisi wasomi tunafulahishwa sana na kipaji alichonacho Mbunge Msukuma, kipaji cha uchekeshaji. Huyu jamaa anakipaji cha ufutuhi futuhi.
Upande wangu napenda akiwa sirius akijifanya anatoa hoja ya maana, hapo atajifanya anaakili sana mpaka kuwazidi Maprofesa.
Napenda utani na mzaha wake kwa Mapolopesa.
Napendekeza Msukuma atafutiwe menejimenti na lasmi aingie kwenye industry ya uchekeshaji.
Msukuma atafutiwe kipindi kwenye Tv walau cha dakika 15 atufulahishe na vioja vyake.
Msukuma nakubali kipaji chako hapo bungeni
Wewe ni nshomile?Kilaza kama wewe huwezi niuliza swali nikashindwa
Siulizwagi maswali na watu wa darasa la saba. Tafuta size yako Mzee sawa?
Unachoweza ku-share na mimi ni vichekesho vyako, sawa Mzee!!
Huyo ni maoni na hayo ndio majibu yake. Halafu anamshangaa King Musukuma!Nimeshakuambia siulizwagi maswali na darasa la saba, wapi hunielewi Babu!!!
Unachoweza ku-share na mimi ni futuhi, vioja, na vichekesho vyako, sawa Mzee!
Au ndio umeanza kuniletea vioja hapa
Huyo ni msomi na hayo ndio majibu yake. Halafu anamshangaa King Musukuma!Nimeshakuambia siulizwagi maswali na darasa la saba, wapi hunielewi Babu!!!
Unachoweza ku-share na mimi ni futuhi, vioja, na vichekesho vyako, sawa Mzee!
Au ndio umeanza kuniletea vioja hapa