Papizo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 4,944
- 1,431
Mbona unachanganya herufi hapo??Nimeshakuambia siurizwi maswari na dalasa ra saba
Mbona unachanganya herufi hapo??Nimeshakuambia siurizwi maswari na dalasa ra saba
Of course uko right unachosema. sisi wasomi tunaona kama ana inferiority complexesHari yenu humu!
Bira shaka mpo wazima.
Sisi wasomi tunafulahishwa sana na kipaji alichonacho Mbunge Msukuma, kipaji cha uchekeshaji. Huyu jamaa anakipaji cha ufutuhi futuhi.
Upande wangu napenda akiwa sirius akijifanya anatoa hoja ya maana, hapo atajifanya anaakili sana mpaka kuwazidi Maprofesa.
Napenda utani na mzaha wake kwa Mapolopesa.
Napendekeza Msukuma atafutiwe menejimenti na lasmi aingie kwenye industry ya uchekeshaji.
Msukuma atafutiwe kipindi kwenye Tv walau cha dakika 15 atufulahishe na vioja vyake.
Msukuma nakubali kipaji chako hapo bungeni
Huyu sio msomi wa kubeba boxWe nawe ni msomi?
Msomi wa nini wewe?
Watu wengi wanamuelewa sana Musukuma maana wenye akili ndogo kama zake Tanzania ni 70%.Na hata mule Bungeni wenye akili ndogo wamo ndo maana utasikia anagongewa meza wakati anaongea mashudu yake!.Hari yenu humu!
Bira shaka mpo wazima.
Sisi wasomi tunafulahishwa sana na kipaji alichonacho Mbunge Msukuma, kipaji cha uchekeshaji. Huyu jamaa anakipaji cha ufutuhi futuhi.
Upande wangu napenda akiwa sirius akijifanya anatoa hoja ya maana, hapo atajifanya anaakili sana mpaka kuwazidi Maprofesa.
Napenda utani na mzaha wake kwa Mapolopesa.
Napendekeza Msukuma atafutiwe menejimenti na lasmi aingie kwenye industry ya uchekeshaji.
Msukuma atafutiwe kipindi kwenye Tv walau cha dakika 15 atufulahishe na vioja vyake.
Msukuma nakubali kipaji chako hapo bungeni
Kama na wewe ni msomi naanza kuona Msukuma yupo sahihi kwamba kuna watu ni trash. Ingawa kwa Prof Muhongo anakosea sana. Wewe ni aibu na cheti chako cha journalism unajiita msomi.Hari yenu humu!
Bira shaka mpo wazima.
Sisi wasomi tunafulahishwa sana na kipaji alichonacho Mbunge Msukuma, kipaji cha uchekeshaji. Huyu jamaa anakipaji cha ufutuhi futuhi.
Upande wangu napenda akiwa sirius akijifanya anatoa hoja ya maana, hapo atajifanya anaakili sana mpaka kuwazidi Maprofesa.
Napenda utani na mzaha wake kwa Mapolopesa.
Napendekeza Msukuma atafutiwe menejimenti na lasmi aingie kwenye industry ya uchekeshaji.
Msukuma atafutiwe kipindi kwenye Tv walau cha dakika 15 atufulahishe na vioja vyake.
Msukuma nakubali kipaji chako hapo bungeni
Msomi uliye na mwandiko kama wa Mwanafunzi wa chekechea. Jifunze uandishi mzuri ili ujulikane nawe ni miongoni mwa waliosoma.Hari yenu humu!
Bira shaka mpo wazima.
Sisi wasomi tunafulahishwa sana na kipaji alichonacho Mbunge Msukuma, kipaji cha uchekeshaji. Huyu jamaa anakipaji cha ufutuhi futuhi.
Upande wangu napenda akiwa sirius akijifanya anatoa hoja ya maana, hapo atajifanya anaakili sana mpaka kuwazidi Maprofesa.
Napenda utani na mzaha wake kwa Mapolopesa.
Napendekeza Msukuma atafutiwe menejimenti na lasmi aingie kwenye industry ya uchekeshaji.
Msukuma atafutiwe kipindi kwenye Tv walau cha dakika 15 atufulahishe na vioja vyake.
Msukuma nakubali kipaji chako hapo bungeni
Kilaza kama wewe huwezi niuliza swali nikashindwa
Siulizwagi maswali na watu wa darasa la saba. Tafuta size yako Mzee sawa?
Unachoweza ku-share na mimi ni vichekesho vyako, sawa Mzee!!
Watu wanakuuliza umesomea nini,unawajibu kihuni, msomi unatumia maneno kama "huelewi babu",nani babu yako humu?
Kwa elimu yake hiyo hiyo ya Standard VII King Msukuma ana weledi mkubwa juu ya masuala ya madini kuliko tunawaita wasomi.Hari yenu humu!
Bira shaka mpo wazima.
Sisi wasomi tunafulahishwa sana na kipaji alichonacho Mbunge Msukuma, kipaji cha uchekeshaji. Huyu jamaa anakipaji cha ufutuhi futuhi.
Upande wangu napenda akiwa sirius akijifanya anatoa hoja ya maana, hapo atajifanya anaakili sana mpaka kuwazidi Maprofesa.
Napenda utani na mzaha wake kwa Mapolopesa.
Napendekeza Msukuma atafutiwe menejimenti na lasmi aingie kwenye industry ya uchekeshaji.
Msukuma atafutiwe kipindi kwenye Tv walau cha dakika 15 atufulahishe na vioja vyake.
Msukuma nakubali kipaji chako hapo bungeni
Kama na wewe ni msomi naanza kuona Msukuma yupo sahihi kwamba kuna watu ni trash. Ingawa kwa Prof Muhongo anakosea sana. Wewe ni aibu na cheti chako cha journalism unajiita msomi.
Hawa ndio wanampa pointi musukumaCheka halafu shangaa!
Halafu hapo hapo ananifokea eti mimi darasa la saba siwezi kumwuliza yeye swali!