Uta Uta
JF-Expert Member
- Feb 2, 2016
- 3,687
- 8,600
Habari za jioni wanajamvi,
Nadhani wengi wenu mko makini katika kufuatlia muandamo wa mwezi.
Wasomini tabaka ambao linaheshimika sana duniani, wengi tunaamini kwamba wasomi ni watu wenye busara na upeo mkubwa sana wa kupambanua mambo mbali kwa ujuzi wao.
Sisi tusiosoma tunawaheshimu sana wasomi tukiamini kwamba wao ndio wakombozi wetu katika kutatua changamomoto za kimaisha.
Wasomi nao hawako nyuma kwa majigambo na dharau, wanatutukana matusi ya kila aina mara vilaza, mbumbumbu,wapumbavu na kila aina ya majina ya kuudhi.
Sasa mi nimevumilia leo nimeona nipasue jipu nimechoshwa na hizi dharau, sisi hatukupenda kutokuwa wasomi ila mazingira tu ndio yalitukwaza kupata elimu.
Sasa swali langu kubwa ni "hivi ninyi wasomi na sisi tusiosoma mpumbavu ni nani? Bila ubishi wala nini wasomi ni wapumbavu wa kiwango cha juu kuliko sisi tusiosoma.
Wasomi mnapofanya reseach zenu ili mpate Masterz nk, mnakuja kutuhoji sisi tusiosoma na questionaire zenu, baadae mnapata Masterz zenu kwa kutuhoji sisi wapumbavu.
Sisi ndio tunaowapa hizo Masterz halafu mnatutukana, kama sisi wapumbavu kwa nini hizo questionaire zenu msiwapelekee Maprofesa ambao ni wasomi wenzenu.
Masterz unayoipapta kwa kuwahoji wapumbavu inakuwaje, ya kijanja? Mimi mpumbavu mmoja, ila wewe unachukua zaidi ya mawazo ya wapumbavu 100 unapata masterz yako.
Sasa mimi mpumbavu mmoja na wewe uliechukua masterz kwa mawazo ya wapumbavu zaidi ya 100, nani mpumbavu zaidi.
Mimi inaniuma sana wasomi mnapotudharau sisi tusiosoma wakati elimu zenu zinatutugemea sisi, naomba kuwasilisha huku nikiwa na uchungu sana.
Nadhani wengi wenu mko makini katika kufuatlia muandamo wa mwezi.
Wasomini tabaka ambao linaheshimika sana duniani, wengi tunaamini kwamba wasomi ni watu wenye busara na upeo mkubwa sana wa kupambanua mambo mbali kwa ujuzi wao.
Sisi tusiosoma tunawaheshimu sana wasomi tukiamini kwamba wao ndio wakombozi wetu katika kutatua changamomoto za kimaisha.
Wasomi nao hawako nyuma kwa majigambo na dharau, wanatutukana matusi ya kila aina mara vilaza, mbumbumbu,wapumbavu na kila aina ya majina ya kuudhi.
Sasa mi nimevumilia leo nimeona nipasue jipu nimechoshwa na hizi dharau, sisi hatukupenda kutokuwa wasomi ila mazingira tu ndio yalitukwaza kupata elimu.
Sasa swali langu kubwa ni "hivi ninyi wasomi na sisi tusiosoma mpumbavu ni nani? Bila ubishi wala nini wasomi ni wapumbavu wa kiwango cha juu kuliko sisi tusiosoma.
Wasomi mnapofanya reseach zenu ili mpate Masterz nk, mnakuja kutuhoji sisi tusiosoma na questionaire zenu, baadae mnapata Masterz zenu kwa kutuhoji sisi wapumbavu.
Sisi ndio tunaowapa hizo Masterz halafu mnatutukana, kama sisi wapumbavu kwa nini hizo questionaire zenu msiwapelekee Maprofesa ambao ni wasomi wenzenu.
Masterz unayoipapta kwa kuwahoji wapumbavu inakuwaje, ya kijanja? Mimi mpumbavu mmoja, ila wewe unachukua zaidi ya mawazo ya wapumbavu 100 unapata masterz yako.
Sasa mimi mpumbavu mmoja na wewe uliechukua masterz kwa mawazo ya wapumbavu zaidi ya 100, nani mpumbavu zaidi.
Mimi inaniuma sana wasomi mnapotudharau sisi tusiosoma wakati elimu zenu zinatutugemea sisi, naomba kuwasilisha huku nikiwa na uchungu sana.