Wasomi tulionyimwa ajira tukutane hapa tujadili nini la kufanya

ndege JOHN

JF-Expert Member
Aug 5, 2015
19,554
44,725
Tumemaliza vyuo wazazi wamejitahidi wamekomaa kutusomesha lakini Sasa kimya mwaka karibia wa saba tunazidi kuzeeka mtaani, tujadili hili tukiwa Kama wasomi tutumie mbinu gani ili Serikali ituajiri na sisi tufurahie matunda ya Nchi yetu tufike mahali pazuri Kama wait walivyofika baada ya kupewa nafasi.

Tuorodheshe hatua za kuchukua maana viongozi wetu naona hawako serious kupunguza tatizo la uhaba wa watumishi.maana ni heri tungeajiriwa hata kama ni mishahara kiduchu tungeridhika kupata uzoefu.ishu Hapa Ni tufanye Nini tupeane mbinu maisha yenyewe mafupi haya.

1.mwenye undugu na rais tunamtuma amkumbushe
2.tuandaeni maandamano ya amani mtandaoni
3.tufanyeje leteni mbinu mbadala
 
Nipo kedekede hapa nawasikiliza, eheee nikamwambiaje Jiwe?
Mm simwogopi Jiwe ila sina udungu naye.
Mwez wa tisa wakat wa kuomba ajira za ualimu mm nilikuwa mtu wa 97,578😄😄😄 na zilikuwa zimebak ck mbili dirisha kufungwa. Na hapo ndipo lile tumaini la kuwepo lilipotea😅😅😅
 
Mi nashauri ingekuwa vizuri waliokosa ajira kurengeneza vikundi vyao na kujitengenezea ajira.

Mfano. Kwenye Tasinia ya Ualimu. Wanaweza jiunganisha na kuchanga mitaji yao kidogo na kukopa bank na kuanzisha shule ambayo watajiajiri wenyewe kama waalimu.

Waliosoma vyuo vya kilimo na ufugaji. Nao wajiunge. Ardhi ipo ya kutosha bado Tanzania. Watengeneze vikundi wajichange mitaji . Pia wanaweza tumia bank ya TADB ( ingawa binafsi siamini maana imekaa kisiasa) kupata mitaji ya vikundi vyao.



Hivyo hivyo hata wa Tasnia nyingine.

Pia sio lazima ujiajiri kwenye Tasnia unayoisomea wewe. Unaweza kuwa mwalimu ila ukajiunga kwenye kundi la wasomi wa kilimo na ufugaji.
 
Tumemaliza vyuo wazazi wamejitahidi wamekomaa kutusomesha lakini Sasa kimya mwaka karibia wa saba tunazidi kuzeeka mtaani, tujadili hili tukiwa Kama wasomi tutumie mbinu gani ili Serikali ituajiri na sisi tufurahie matunda ya Nchi yetu tufike mahali pazuri Kama wait walivyofika baada ya kupewa nafasi.

Tuorodheshe hatua za kuchukua maana viongozi wetu naona hawako serious kupunguza tatizo la uhaba wa watumishi.maana ni heri tungeajiriwa hata kama ni mishahara kiduchu tungeridhika kupata uzoefu.ishu Hapa Ni tufanye Nini tupeane mbinu maisha yenyewe mafupi haya.

1.mwenye undugu na rais tunamtuma amkumbushe
2.tuandaeni maandamano ya amani mtandaoni
3.tufanyeje leteni mbinu mbadala
wao wanakwambia point zile zile
Kujiajiri wakati wananchi wanasema kunau employment
-Wakati mwenyewe anakwambia Kuna poor infrastructure hivo mpaka miundombinu ikamilikeiwe vizuri ndo aajiri.
-Sasa tuendelee kusubilia Au Mitano tena tuendelee kuimalisha miundombinu.
 
Kati ya vitu ambavyo huyu Rais kayumba,ni pamoja na hili la ajira.Amechemka sana,na watu wanaoweza kumwambia ukweli hawamwambii ila watasema akitoka madarakani.Mtu gani huajiri inavyotakiwa,unajifanya hujui kama vyuo vinatoa wahitimu ambao wengine inabidi washike nafasi za wanaostaafu na wanaokufa.

Watetezi wake wameanza hadi kukosa majibu,mwanzo walikua wanajibu kua 'hakuna nchi inamudu kuajiri wahitimu wote' wakamsahau JK kua aliajiri wahitimu wengi tu,wakaja na eti MJIAJIRI,wanasahau kua hata vyuoni kwenyewe watu walikopeshwa ili wasome je mtaji uko wapi wa kujiajiri ili mtu afanyie kazi kile alichosomea?

Ni ujinga tu,JPM yuko pale anajua wahitimu wanafuraha kumbe wengine wanatamani kitokee chochote nchi iendeshwe na Rais mwingine atakaye balansi mambo,na si kuegemea kwenye miundombinu tu.Ni ujinga sana,atajua kua watu ni wanafiki akishatoka madarakani na hana pakujibia kama anavyojibu mambo madogomadogo ya yeye kutomudu lugha ya Kiingereza hata sehemu ambazo hazimhitaji kuzungumzia.

Ujinga kabisa,anampa kazi Rais ajae kukuta wasiokua na ajira wengi wakati angempunguzia kazi.

Zile ajira walizosema 13000,bila kushtukiwa kua ziko chini ya hizo,ingekua imeisha hiyo.

Hizo 5000 hadi leo hawatoi,sijui wanawaza nini?
 
Tumemaliza vyuo wazazi wamejitahidi wamekomaa kutusomesha lakini Sasa kimya mwaka karibia wa saba tunazidi kuzeeka mtaani, tujadili hili tukiwa Kama wasomi tutumie mbinu gani ili Serikali ituajiri na sisi tufurahie matunda ya Nchi yetu tufike mahali pazuri Kama wait walivyofika baada ya kupewa nafasi.

Tuorodheshe hatua za kuchukua maana viongozi wetu naona hawako serious kupunguza tatizo la uhaba wa watumishi.maana ni heri tungeajiriwa hata kama ni mishahara kiduchu tungeridhika kupata uzoefu.ishu Hapa Ni tufanye Nini tupeane mbinu maisha yenyewe mafupi haya.

1.mwenye undugu na rais tunamtuma amkumbushe
2.tuandaeni maandamano ya amani mtandaoni
3.tufanyeje leteni mbinu mbadala
Ongea na wa jina wako maana hana hata habari sisi huku ajirani watu wamestaafu,wametumburiwa,wamekufa,wamepata uchizi,wameacha kazi ila bado hatuongezei wafanya kazi kwa sasa mtu mmoja anaperform duties za watu wanne waliotumbuliwa au kuustafu.
 
Kaka
Mi nashauri ingekuwa vizuri waliokosa ajira kurengeneza vikundi vyao na kujitengenezea ajira.

Mfano. Kwenye Tasinia ya Ualimu. Wanaweza jiunganisha na kuchanga mitaji yao kidogo na kukopa bank na kuanzisha shule ambayo watajiajiri wenyewe kama waalimu.

Waliosoma vyuo vya kilimo na ufugaji. Nao wajiunge. Ardhi ipo ya kutosha bado Tanzania. Watengeneze vikundi wajichange mitaji . Pia wanaweza tumia bank ya TADB ( ingawa binafsi siamini maana imekaa kisiasa) kupata mitaji ya vikundi vyao.



Hivyo hivyo hata wa Tasnia nyingine.

Pia sio lazima ujiajiri kwenye Tasnia unayoisomea wewe. Unaweza kuwa mwalimu ila ukajiunga kwenye kundi la wasomi wa kilimo na ufugaji.
Kujenga shule siyo mchezo??? Heee, na kama ilivyo mwanzo n mgumu mmejiunganisha watu 20 kujenga shule, mnakuja pata wanafunz kum wa kujiunga, hapo bank wanataka hela yao, tra nao hawajabaki nyuma, na hapo walimu hawajapata kimshahara? Hahahaaaa, lbd kuanzisha tuition center inawezekana
 
Mi nashauri ingekuwa vizuri waliokosa ajira kurengeneza vikundi vyao na kujitengenezea ajira.

Mfano. Kwenye Tasinia ya Ualimu. Wanaweza jiunganisha na kuchanga mitaji yao kidogo na kukopa bank na kuanzisha shule ambayo watajiajiri wenyewe kama waalimu.

Waliosoma vyuo vya kilimo na ufugaji. Nao wajiunge. Ardhi ipo ya kutosha bado Tanzania. Watengeneze vikundi wajichange mitaji . Pia wanaweza tumia bank ya TADB ( ingawa binafsi siamini maana imekaa kisiasa) kupata mitaji ya vikundi vyao.



Hivyo hivyo hata wa Tasnia nyingine.

Pia sio lazima ujiajiri kwenye Tasnia unayoisomea wewe. Unaweza kuwa mwalimu ila ukajiunga kwenye kundi la wasomi wa kilimo na ufugaji.
Mwalimu akafuge na kulima?Bibi na bwana mifugo na kilimo wafanye nini?
 
Naziona point zako. Kwel weng watamkosoa kipnd aking'atuka madarakani
Kati ya vitu ambavyo huyu Rais kayumba,ni pamoja na hili la ajira.Amechemka sana,na watu wanaoweza kumwambia ukweli hawamwambii ila watasema akitoka madarakani.Mtu gani huajiri inavyotakiwa,unajifanya hujui kama vyuo vinatoa wahitimu ambao wengine inabidi washike nafasi za wanaostaafu na wanaokufa.Watetezi wake wameanza hadi kukosa majibu,mwanzo walikua wanajibu kua 'hakuna nchi inamudu kuajiri wahitimu wote' wakamsahau JK kua aliajiri wahitimu wengi tu,wakaja na eti MJIAJIRI,wanasahau kua hata vyuoni kwenyewe watu walikopeshwa ili wasome je mtaji uko wapi wa kujiajiri ili mtu afanyie kazi kile alichosomea?
Ni ujinga tu,JPM yuko pale anajua wahitimu wanafuraha kumbe wengine wanatamani kitokee chochote nchi iendeshwe na Rais mwingine atakaye balansi mambo,na si kuegemea kwenye miundombinu tu.Ni ujinga sana,atajua kua watu ni wanafiki akishatoka madarakani na hana pakujibia kama anavyojibu mambo madogomadogo ya yeye kutomudu lugha ya Kiingereza hata sehemu ambazo hazimhitaji kuzungumzia.
Ujinga kabisa,anampa kazi Rais ajae kukuta wasiokua na ajira wengi wakati angempunguzia kazi.
Zile ajira walizosema 13000,bila kushtukiwa kua ziko chini ya hizo,ingekua imeisha hiyo.
Hizo 5000 hadi leo hawatoi,sijui wanawaza nini?
 
Nipo kedekede hapa nawasikiliza, eheee nikamwambiaje Jiwe?
Mm simwogopi Jiwe ila sina udungu naye.
Mwez wa tisa wakat wa kuomba ajira za ualimu mm nilikuwa mtu wa 97,578 na zilikuwa zimebak ck mbili dirisha kufungwa. Na hapo ndipo lile tumaini la kuwepo lilipotea
Dah!
 
Back
Top Bottom