Wasomi serikalini ni Prof. Ndulu na Prof. Assad

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,080
103,308
Tangu Serikali ya awamu ya Tano iingie madaraka wasomi waliopewa nyazifa Serikali wamekuwa watu wa ajabu.

Wameshindwa kusahihisha mawazo na matakwa ya wanasiasa. Kifupi niseme wamekuwa "maboya" ya wanasiasa.Tangu ishu ya watumishi hewa pale BOT, mbinyo wa fedha za MCC, sukari na sasa tafsiri za kodi, kuna wataalamu ambao kabisa ukisikiliza maoni yao unatamani ukachome moto vyeti vyao.

Nakumbuka ishu ya watumishi hewa BOT ilivyoshikiwa bango na M, siku chache baadae Prof. Ndulu akajibu kuwa pale hakuna watumishi hewa! Vilevile CAG alipopunguziwa bajeti yake kwa kiasi kikubwa huku akitakiwa amulike zaidi ufisadi, amesema NO nitafanya kazi kulipangana na resources mlizonipa.

Kwa maoni yangu ni dhahiri kabisa naona katika watu walioko serikalini wasomi ni wawili tu Gavana Prof. Beno Ndulu na CAG Prof. Juma Assad!

Kwa waliosalia ni kuitikia tu .....Ndio mkuu!nitatekeleza mkuu...ndio muheshimiwa, inawezekana mkuu!!! Katika ukandamizaji huu wa vyombo vya habari ulitegemea Mwanahabari Dkt. Rioba kuukubali uteuzi wa Ukurugenzi TBC?
 
Tangu Serikali ya awamu ya Tano iingie madaraka wasomi waliopewa nyazifa Serikali wamekuwa watu wa ajabu.

Wameshindwa kusahihisha mawazo na matakwa ya wanasiasa. Kifupi niseme wamekuwa "maboya" ya wanasiasa.Tangu ishu ya watumishi hewa pale BOT, mbinyo wa fedha za MCC, sukari na sasa tafsiri za kodi, kuna wataalamu ambao kabisa ukisikiliza maoni yao unatamani ukachome moto vyeti vyao. Nakumbuka ishu ya watumishi hewa BOT ilivyoshikiwa bango na M, siku chache baadae Prof. Ndulu akajibu kuwa pale hakuna watumishi hewa! Vilevile CAG alipopunguziwa bajeti yake kwa kiasi kikubwa huku akitakiwa amulike zaidi ufisadi, amesema NO nitafanya kazi kulipangana na resources mlizonipa. Kwa maoni yangu ni dhahiri kabisa naona katika watu walioko serikalini wasomi ni wawili tu Gavana Prof. Beno Ndulu na CAG Prof. Juma Assad!

Kwa waliosalia ni kuitikia tu .....Ndio mkuu!nitatekeleza mkuu...ndio muheshimiwa, inawezekana mkuu!!! Katika ukandamizaji huu wa vyombo vya habari ulitegemea Mwanahabari Dkt. Rioba kuukubali uteuzi wa Ukurugenzi TBC?

kweli ni wasomi wakati ile bank ya cyprus ilivotakasa pesa yeye alikuwa yupo tu hapo wakati watumishe hewa wapo hadi hapo ofisini kwake yeye yupo tu hapo , wakati watumishi wa idara hiyo wakiwa wanaiba DOLLAR na kwenda kufungua BEARAL EXCHANGE professor yupo tu
wakati mabenk yakifanya utakatishaji wa fedha yeye yupo
hala eti unamsifia ,
 
Mkuu tafsiri yako ya Msomi haipo sahihi.Kwako wewe msomi ni yule anayempinga tu mhe. Rais au mkubwa wake yeyote. Anayekubaliana na maelekezo ya Rais au mkuu wake wa kazi basi kwako wewe mtu huyo siyo msomi, hata kama maelekezo hayo ni sahihi.
 
Ni kweli maana wenye uthubutu ni wachache na hao hawapindishwi na tasisi sio akina dr plan uchwara
 
Tangu Serikali ya awamu ya Tano iingie madaraka wasomi waliopewa nyazifa Serikali wamekuwa watu wa ajabu.

Wameshindwa kusahihisha mawazo na matakwa ya wanasiasa. Kifupi niseme wamekuwa "maboya" ya wanasiasa.Tangu ishu ya watumishi hewa pale BOT, mbinyo wa fedha za MCC, sukari na sasa tafsiri za kodi, kuna wataalamu ambao kabisa ukisikiliza maoni yao unatamani ukachome moto vyeti vyao. Nakumbuka ishu ya watumishi hewa BOT ilivyoshikiwa bango na M, siku chache baadae Prof. Ndulu akajibu kuwa pale hakuna watumishi hewa! Vilevile CAG alipopunguziwa bajeti yake kwa kiasi kikubwa huku akitakiwa amulike zaidi ufisadi, amesema NO nitafanya kazi kulipangana na resources mlizonipa. Kwa maoni yangu ni dhahiri kabisa naona katika watu walioko serikalini wasomi ni wawili tu Gavana Prof. Beno Ndulu na CAG Prof. Juma Assad!

Kwa waliosalia ni kuitikia tu .....Ndio mkuu!nitatekeleza mkuu...ndio muheshimiwa, inawezekana mkuu!!! Katika ukandamizaji huu wa vyombo vya habari ulitegemea Mwanahabari Dkt. Rioba kuukubali uteuzi wa Ukurugenzi TBC?
Wakati mwingine ukitaka kuanzisha uzi tafakari madhara yake kwa wenzako.
 
Nyumbu wala hawayaoni haya.

Chadema kwa miaka 20 wamepanga jengo chafu pale ufipa.!! Lkn ukihoji sababu ni nini unaambiwa wewe ni msaliti!!
 
Huyu CAG tangu atoe proposal kwamba transactions zifanyike kwa credit card ili serikali ikusanye kodi kirahisi nilimuona kichwa. Wanasiasa wamebaki kujadili hukumu ya kifungo kwa wakwepa badala ya kuleta strategies kama hizi.
 
Ukichwa wake upon wapi wa kati network za mitandao ishu au credit card kwa mtu dabaga kijijini inamsaidia nini?
 
Huyu CAG tangu atoe proposal kwamba transactions zifanyike kwa credit card ili serikali ikusanye kodi kirahisi nilimuona kichwa. Wanasiasa wamebaki kujadili hukumu ya kifungo kwa wakwepa badala ya kuleta strategies kama hizi.

Watu wamekaaa kimya issue ya CREDIT CARD haina maana kwamba iko njema sana
Hivi umewahi jiuliza ni wananchi wangapi wana ACCOUNT Bank?
Kama mfumo wa kielectroniki ni SULUHISHO, mbona makampuni ya Simu bado hayalipi kodi inayoendana/Swahili??
Kama mfumo wa kielectroniki ni suluhisho basi tutapata watu wengi sana wanaoiibia serikali million saba kila dakika...
 
Back
Top Bottom