Wasomi Ndio wanaoongoza kutapeliwa mjini hivi hii ni kwa nini?

Unajua maisha ya mjini hayana formula,Kwa mfano wanaokuja Dar hutakiwa kuja na akili tu mengine utayakuta kigamboni, ila mjini kuwa makini
 
ukiona mtu mpka anatapeliwa huyu mtu Ana akili hence wasomi
Wana akili mno ndo maana wanaingia mkenge
 
Kutake risk ndio inaleta shida

They just take risk and forget to take 'calculated risk'
 
wanaijeria ni noma jaman pamoja na kusoma ad masters ndio wataalamu wakubwa wa kutapel na scam zao za senegal pamoja fake stories about next kin
 
Nimefanya utafiti miaka 5 sasa Nina data za kutosha kua miongoni mwa wahanga wa kutapeliwa na KUIBIWA wengi wao ni Wasomi kuliko wasiosoma tatizo kubwa nililogundua ni kujifanya wanajua Sana. Badilikeni wasomi hivi uko mashuleni ama mavyuoni mnajifunza nini? Aibu kwenu wasomi.
Kusoma c kutapeliwa
 
usomi upo kwenye kujibu mitihani nje ya hapo hakuna kitu
mfano electrolysis(chemia) au electricity(physics) mtu anafaulu vizuri lakini practically ni sifuri
 
asilimia kubwa ya wasomi au unaodhani ni wasomi ndio wana pesa ya kutapeliwa!!!ni sawasawa huwezi kusikia majambazi yamevunja na kuiba katika nyumba ya udongo
 
Mkuu Umetoka kula maharage unakuja kuvamia nyuzi za magreat thinkers apa ebo
Mkuu ungenielewa ingekuwa bora kusoma c kutapeliwa nikimaanisha msomi huona yuko sawa kwa overconfidence ya elimu yake hivyo atakuwa easy target kuliko ambae hana elimu kubwa ila anayo ya uoga inamsaidia
 
Unataka kusema wasiosoma Hawana pesa? Tafakari upya mkuu Kuna watu hawajasoma kabisa ila........
hakuna sehemu nimesema ulichokisema!!nimezungumza kuhusiana na wasomi na wanaonekana kuwa wasomi kuwa na pesa za kutapelika!nifafanue zaidi...wasomi na wanaoonekana kuwa wasomi wanaishi maisha flani hivi yanaleta viashiria kuwa pesa ipo ndio maana wanakuwa target ya matapeli!!!ndio maana nikasema hata majambazi hawezi kuvunja nyumba ya udongo hapo sijasema kuwa nyumba ya udongo hakuwezi kuwa na mapesa ya kuiba bali nyumba ya udongo haivutii majambazi kuvamia.Nahitimisha wasomi wanaishi wakiashiria kuwa na pesa hivyo kuwa target ya matapeli!!!
 
hakuna sehemu nimesema ulichokisema!!nimezungumza kuhusiana na wasomi na wanaonekana kuwa wasomi kuwa na pesa za kutapelika!nifafanue zaidi...wasomi na wanaoonekana kuwa wasomi wanaishi maisha flani hivi yanaleta viashiria kuwa pesa ipo ndio maana wanakuwa target ya matapeli!!!ndio maana nikasema hata majambazi hawezi kuvunja nyumba ya udongo hapo sijasema kuwa nyumba ya udongo hakuwezi kuwa na mapesa ya kuiba bali nyumba ya udongo haivutii majambazi kuvamia.Nahitimisha wasomi wanaishi wakiashiria kuwa na pesa hivyo kuwa target ya matapeli!!!
Bado uko pale mkuu ila ikumbukwe kua wapo watu hawajasoma lakini Wana majumba mazuri pia ambayo ni vivutio vya matapeli unaweza Kuona
 
Mkuu ungenielewa ingekuwa bora kusoma c kutapeliwa nikimaanisha msomi huona yuko sawa kwa overconfidence ya elimu yake hivyo atakuwa easy target kuliko ambae hana elimu kubwa ila anayo ya uoga inamsaidia
Ungeandika hivi mwanzoni Mbona ungeeleweka tu mkuu kuliko unafupisha alafu unakua kama unatujeuria uzi Wetu
 
Sababu utulivu sifuri katika kuchanganua mambo madogo na kuona makubwa ndiyo yanatuhusu
 
Back
Top Bottom