Hivi sasa kuna harakati za uchaguzi katika chuo cha mzumbe lakini cha kujiuliza ya kuwa kwanini wasomi wetu tuliotarajia watoe mfano bora kwa kuchagua watu kwa sera na si nini wamewapa , inasikitisha kuona wasomi wetu wanapewa pombe kama sehemu ya kampeni na kuwa ndicho kitu cha kuwashawishi kumchagua mtu.
je kama wasomi wetu hawajaelimika katika kufanya chaguzi zetu ni nani atayeonyesha mfano bora kwenye mabadiliko ya kweli?
je kama wasomi wetu hawajaelimika katika kufanya chaguzi zetu ni nani atayeonyesha mfano bora kwenye mabadiliko ya kweli?