wana -jf. Sote tunajua elimu ndio ufunguo wa uelewa wa mambo mengi katika ulimwengu huu. Na alieyehitimu huitwa msomi au learned person. sasa wasomi wa kada ya uanasheria wao hujiita "my learned brother/sister" sasa hii imekaaje? wasomi wa kada nyingine ka wahandisi, madaktari, wahasibu n.k wanajiitaje? au usomi wao ni wa mashaka? kama ndivyo au sivyo je huu msemo umekaaje? " LEARNING IS WHAT REMAINED AFTER EDUCATION". Tafadhali tusaidiane tuondoe ubaguzi.