Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
Nilisubiri bikijua watu watawasahahihisha hawa mabwana lakini nahisi sasa wakati mkurugenzi wa clouds anaitaji nae kuwajibika kwa hili..una;pooona wazee waliotumikia taifa wanaitwa wapuuzi na wewe kama mkurgenzi umekaa kimya unaonekana nawe the same
majuzi kipindi cha jhazi mtangazaji mmoja anaitwa wasiwasi waliongelea sana kuhusu hotuba ya sumaye na baadae kibonde akajazia wakati wa hitimisho akasema mi nahisi sasa huu nni upuu zi mtupu atutaruhusu viongozi kukimbilia kwenye press kisa kumjibu mtu siasa upuuzi mtupu...nilipoona nae ni mpuuzi pale aliposema unajua nilikuwa mwalikwa nikatsema kumbe nae ni mpuuzi
sasa tusifike huko si vyema kutukana viongozi wapuuzi kwa kuwaumepewa madarka ..unaweza taja ma bibi zako ukawapa hbday na mengineyo lakini si kutukna wazee kama hivi
naamini uongozi wa clouds utalifwatilia hili na kama wakipenda wanaweza unda tume kama ya mh waziri waje na hitimisho wanafuta kipindi ama wanawawajibisha wahusika
majuzi kipindi cha jhazi mtangazaji mmoja anaitwa wasiwasi waliongelea sana kuhusu hotuba ya sumaye na baadae kibonde akajazia wakati wa hitimisho akasema mi nahisi sasa huu nni upuu zi mtupu atutaruhusu viongozi kukimbilia kwenye press kisa kumjibu mtu siasa upuuzi mtupu...nilipoona nae ni mpuuzi pale aliposema unajua nilikuwa mwalikwa nikatsema kumbe nae ni mpuuzi
sasa tusifike huko si vyema kutukana viongozi wapuuzi kwa kuwaumepewa madarka ..unaweza taja ma bibi zako ukawapa hbday na mengineyo lakini si kutukna wazee kama hivi
naamini uongozi wa clouds utalifwatilia hili na kama wakipenda wanaweza unda tume kama ya mh waziri waje na hitimisho wanafuta kipindi ama wanawawajibisha wahusika