Mwita25
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 3,836
- 1,164
Tangu Gerald Hando aondoke Clouds huyu jamaa Wasiwasi amechukua nafasi yake kwenye Power Breakfast. Anachoendeleza ni ukatuni na mizaha tu yaani hata haelewi nini cha kufanya. Linachekaacheka tu na kumfanya Barbara awe na kazi ya ziada. Hivi hawa watangazaji Clouds inawaokota wapi?