Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
Huyu Wasira kadata, yaani, sababu anayosema kuwa hataki kuachia madaraka kwa vijana ati ni vijana wanakula bangi! Nchi kibao wanakula mjani; Holland kule wanakula mjani, Jamaica na sehemu kibao. Sisemi hivi natetea wanala mjani, la hasha! Sababu aliyotoa ni mufilisi kwa mtu mzoefu kama Tyson ni fedheha sana na matusi kwa vijana; ni aibu kubwa kwa mtu mzima kama Wasira.
Sababu yake ya kutoachia madaraka ni selfishness yake. Nilimsikia akisema alianza kuwa mbunge tangu mwaka 1970 na anajisifia kwa masifa kede kede; miaka zaidi ya 30 yuko bungeni ati haachii kiti cha ubunge kisa vijana wanavuta majibangi. Mzee kama Wasira waliokaa bungeni zaidi ya 30 sitategemei awe na kauli kama hizi; kafanya nini Tyson bana mpaka aseme kuwa haachii madaraka kisa vijana wanakula mjani?
Hii kwa Wasira naiita ni kutokojiamini, hofu, ubinafsi; hana lolote anaweza kufanya zaidi ya kukaa bungeni. Yaani, jitu kama Wasira anaona hamna watu zaidi yake wanaweza kuwakilisha watu bungeni?
Hakuna uhusiano wa umri na madaraka aachie madaraka; kauli ya hofu hizo. Kudadadeki naenda chukua fomu; kuniloga hamuwezi, niko fiti.
Sababu yake ya kutoachia madaraka ni selfishness yake. Nilimsikia akisema alianza kuwa mbunge tangu mwaka 1970 na anajisifia kwa masifa kede kede; miaka zaidi ya 30 yuko bungeni ati haachii kiti cha ubunge kisa vijana wanavuta majibangi. Mzee kama Wasira waliokaa bungeni zaidi ya 30 sitategemei awe na kauli kama hizi; kafanya nini Tyson bana mpaka aseme kuwa haachii madaraka kisa vijana wanakula mjani?
Hii kwa Wasira naiita ni kutokojiamini, hofu, ubinafsi; hana lolote anaweza kufanya zaidi ya kukaa bungeni. Yaani, jitu kama Wasira anaona hamna watu zaidi yake wanaweza kuwakilisha watu bungeni?
Hakuna uhusiano wa umri na madaraka aachie madaraka; kauli ya hofu hizo. Kudadadeki naenda chukua fomu; kuniloga hamuwezi, niko fiti.