jobe ayoub
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 203
- 99
1.Alianza kusinzia bungeni,yeye akadai alikua anatafakari
waliompiga picha hawana cha kufanya.
2.Jangwani alikuja na hili nalo:
"Napenda kumpa ujumbe Mbowe,
Anaposema CCM hatujafanya lolote ana mkufuru baba yake mzazi aliyefanya
kazi na Mwalimu Nyerere,
Aangalie asije akapata laana ya wazazi wake, kama
ameshindwa siasa aende akarudie mradi wake wa kuuza pombe
bar,
NB: wenye wazazi wa aina ya Wasira wanalo
waliompiga picha hawana cha kufanya.
2.Jangwani alikuja na hili nalo:
"Napenda kumpa ujumbe Mbowe,
Anaposema CCM hatujafanya lolote ana mkufuru baba yake mzazi aliyefanya
kazi na Mwalimu Nyerere,
Aangalie asije akapata laana ya wazazi wake, kama
ameshindwa siasa aende akarudie mradi wake wa kuuza pombe
bar,
NB: wenye wazazi wa aina ya Wasira wanalo