Mwanasiasa mkongwe nchini, Stephen Wasira amesema Taifa limeanza kupoteza watu kusema ukweli, badala yake kumeibuka utaratibu wa kusifiana hata pasipokuwa na sababu za Msingi.
Alisema siku za hivi karibuni jamii imeanza kuogopa kusema kusema ukweli kuliko hata kuogopaugonjwa wa Ukimwi.
Wasira alitoa kauli hiyo juzi, wakati akifungua kongamano la maadhimisho ya kumbukizi yakifo cha Rais wa kwanza wa Zanzibar, Abeid Amani Karume lililoandaliwana kufanyika katika Chuo cha kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Kampasi ya Karume, Zanzibar.
Wasira ametolewa kwenye Kamati Kuu ya CCM iliyoundwa na Rais Samia je kauli hizo ni kwa sababu yuko nje ya Kamati Kuu?
Alisema siku za hivi karibuni jamii imeanza kuogopa kusema kusema ukweli kuliko hata kuogopaugonjwa wa Ukimwi.
Wasira alitoa kauli hiyo juzi, wakati akifungua kongamano la maadhimisho ya kumbukizi yakifo cha Rais wa kwanza wa Zanzibar, Abeid Amani Karume lililoandaliwana kufanyika katika Chuo cha kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Kampasi ya Karume, Zanzibar.
Wasira ametolewa kwenye Kamati Kuu ya CCM iliyoundwa na Rais Samia je kauli hizo ni kwa sababu yuko nje ya Kamati Kuu?