Kuna mshikaji kanipigia simu kuwa kamwona Wasira kwenye Lesotho TV wakati wa kumwapisha waziri mkuu mpya wa Lesotho. Inaonekana ameiwakilisha serikali ya Tanzania. Mwenye habari kamili atujulishe. Kwa nini Mkulu au Shein au Pinda hawakuwakilisha.
Waziri mkuu mpya ameapishwa masaa machache yaliyopita baada ya upinzani kuungana na kupata majority kuweza kuunda serikali mpya. Waziri mkuu wa zamani amekubali kushindwa na kuahidi kuwa strong opposition.
Waziri mkuu mpya ameapishwa masaa machache yaliyopita baada ya upinzani kuungana na kupata majority kuweza kuunda serikali mpya. Waziri mkuu wa zamani amekubali kushindwa na kuahidi kuwa strong opposition.