Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,326
- 217,353
Mbunge wa zamani wa Bunda Mh Steven Wasira amekanusha kudaiwa baada ya kampuni zake za Siza cold storage Co LTD na 21st Century Afritex LTD Kutajwa kwenye orodha ya wadaiwa sugu wa serikali walionufaika na mpango wa Commodity Import Support
Amesema kwamba mara ya mwisho alibakiwa na deni la tsh mil 26 tu ambazo akikwisha zilipa kwenye benki ya TIB
Chanzo : Nipashe
Swali - kama alilipa kwanini atajwe , Je huu ni mkakati wa kuwaumiza Team Membe kuelekea 2020 ?
Amesema kwamba mara ya mwisho alibakiwa na deni la tsh mil 26 tu ambazo akikwisha zilipa kwenye benki ya TIB
Chanzo : Nipashe
Swali - kama alilipa kwanini atajwe , Je huu ni mkakati wa kuwaumiza Team Membe kuelekea 2020 ?