Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 33,862
- 54,093
Ila kuna watu mkibugia k-vant mnakuwa wajinga sana.Kwa hiyo akili zako zilikuwa zinatika kwenye govi?Donkey!
Lengo la mleta uzi lilikuwa hili. Ndio maana amesema tumuite MulokoziNa wahaya
Hivi ni kwa nini Mungu alimuumba nwanadamu na govi?Mkuu kaondoe tu huo uchafu, kiroho safi. Kuna faida nyingi zaidi ukiwa umetahiriwa kulika ukiwa haujatahiriwa, haya ni mambo ya kisayansi zaidi. Haya mambo uliyoamua kutuletea leo ni ramli farijishi, usijifariji Mkuu.
Aisee Kimario hivi hawajakuroga kweli? Naona unasingizia govi ya kichwa kidogo chaliiUshahidi upo kuwa watu wasiotahiriwa huwa na uwezo mkubwa darasani ukilinganksha na waliofanyiwa tohara,mfano ni Mimi mwenyewe kabla ya kufanyiwa tohara nilikuwa mzuri was hesabu darasani na kushika namba moja bila kwenda tuition,nilikuwa najifunza mwenyewe Ila baada yq kutahiri nikiwa darasa la saba nilipoingia form one nikapoteza uwezo was kumiliki hesabu,
Pia watoto waliozaliwa na wazazi walio bado kupata tohara hufanana copy right na wazazi wao,angalia makabila yasiotahitri yalivyo na IQ kubwa japo sitayataja,huu ni uchunguzi wangu,niiteMlokozi
Ukimaliza kuwaza hilo nakuongezea lingine.Kwa nini binadamu huzaliwa bila meno?Ukimaliza na hilo pia ntakuongezea lingine.
UNCIRCURMCISED uzi, mweka uzi na akili yake unatembea na manajisi eti akili kubwa, sema hivi ulipokiuwa na govi ukijiona mshamba na after yake ukaanza mambo ya kisela walau ukajiona kidumeUshahidi upo kuwa watu wasiotahiriwa huwa na uwezo mkubwa darasani ukilinganksha na waliofanyiwa tohara,mfano ni Mimi mwenyewe kabla ya kufanyiwa tohara nilikuwa mzuri was hesabu darasani na kushika namba moja bila kwenda tuition,nilikuwa najifunza mwenyewe Ila baada yq kutahiri nikiwa darasa la saba nilipoingia form one nikapoteza uwezo was kumiliki hesabu,
Pia watoto waliozaliwa na wazazi walio bado kupata tohara hufanana copy right na wazazi wao,angalia makabila yasiotahitri yalivyo na IQ kubwa japo sitayataja,huu ni uchunguzi wangu,niiteMlokozi