Jasho la Damu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 956
- 120
nasisitiza haya ni mawazo yangu.
nitakuwa mchoyo wa fadhila kama nitachelea kuwapongeza wabunge wa kigoma kupitia chama cha cdm na nccr kwa kuonyesha mfano wa kujali wananchi wa jamii yao kwa kuelekezaa posho zao za vikao vya bunge katika taasisi za maendeleo ya mkoa wao.
laiti hili lingefanywa na wabunge kutoka pande za kaskazini mwa tz hata bila ya kujali itikadi za vyama vya siasa zao, tungeanza kusikia mara ooh ni wakabila, wanataka kuongoza nchi kila aina ya neno lingesemwa nje na ndani ya ccm.
nitakuwa mchoyo wa fadhila kama nitachelea kuwapongeza wabunge wa kigoma kupitia chama cha cdm na nccr kwa kuonyesha mfano wa kujali wananchi wa jamii yao kwa kuelekezaa posho zao za vikao vya bunge katika taasisi za maendeleo ya mkoa wao.
laiti hili lingefanywa na wabunge kutoka pande za kaskazini mwa tz hata bila ya kujali itikadi za vyama vya siasa zao, tungeanza kusikia mara ooh ni wakabila, wanataka kuongoza nchi kila aina ya neno lingesemwa nje na ndani ya ccm.