Walimu wakuu shule za msingi wengi wao hawakuomba kazi ya sensa, nashangaa Jana tu wamepigiwa simu kuwa wao ndo mahojaji halafu ndio wasimamizi wa maudhui, maajabu sana.
Walioomba kazi hiyo wamewekwa pembeni.
Hii nchi tutafika mbinguni tumechoka sana.
Walioomba kazi hiyo wamewekwa pembeni.
Hii nchi tutafika mbinguni tumechoka sana.