PAPAA JIWE
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 863
- 134
Wanandugu hebu tujikumbushe kidogo wanasiasa ambao ni majeruhi wa kudumu kwenye siasa za Tanzania, hawa ni wale ambao wanatumia nguvu kubwa lakini matokeo yake yamekuwa hasi.
Kwa upande wangu naanza na huyu Profesa Ibrahimu H Lipumba, nadhani tangu nimezaliwa nasikia tu anagombea, labda kuna siku NEC watakosea kusoma jina la mshindi wa kile kiti kimoja na kumsoma yeye.
"Huyu namuita msindikizaji wa kudumu"
hebu tukumbushane wasindikizaji wengine..
Kwa upande wangu naanza na huyu Profesa Ibrahimu H Lipumba, nadhani tangu nimezaliwa nasikia tu anagombea, labda kuna siku NEC watakosea kusoma jina la mshindi wa kile kiti kimoja na kumsoma yeye.
"Huyu namuita msindikizaji wa kudumu"
hebu tukumbushane wasindikizaji wengine..