GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,099
Wanabodi, nilianzisha uzi hapa kuhusu watendaji wa Serikali kuharibu taswira ya CCM, Watendaji wa Serikali wao hawana uchungu na chama wanaangalia mishahara na familia zao tu, Makosa ya watendaji wa serikali yanageuzwa kuwa CCM imewatuma kuvuruga upendo na Amani. Kuna baadhi ya mambo yamefanyiwa kazi mfano lile la kuruhusu vyombo vya BBC na Voa kuendelea na matangazo Katika uzi huu,
CCM hatuna hoja za kumjibu Tundu Lissu, tunakwamishwa na watendaji wa Serikali
Leo kuna kosa tena la Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Kibamba Mama Beatrice ameanza kukichafua chama kwa kuficha fomu halisi ya mgombea ubunge wa CHADEMA Jimbo la Kibamba.
Ni dhahiri ameanza kutengeneza chuki dhidi ya chama cha mapinduzi.
Mamlaka chukueni hatua kali juu ya hawa watu kama hawa, Huyu Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Kibamba wanatuchafulia chama mbele ya wananchi.
Kuna mbinu nyingi za kushinda uchaguzi ila sio za chuki na kuwakasirisha wananchi kama hii aliyotumia Mama Beatrice Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Kibamba.
Mama Beatrice ameficha fomu mwenyewe anasingizia amempa mtu asiyemfahamu.
Mbinu kama hizi ndizo Tundu lissu a nazidi kupata wafuasi wengi huko Tunduma Mbeya.
Leo Tundu Lissu amewaaminisha malaki ya wananchi Tunduma kuwa TRA inatumwa na CCM kufilisi wafanyabiashara na kubambika kesi kwa wafanyabiashra.
Kosa la watendaji wa TRA sasa CCM inabeba mzigo usiobebeka.
Hili la Kibamba Msimamizi wa uchaguzi tayari anampa nguvu Tundu Lisu Kuhubiri kuwa wasimamizi wa uchaguzi wanakibeba chama chetu cha ccm hivyo hatakubali matokeo.
Kuna mambo ya msingi chama changu cha CCM kinapaswa kufanya.
Mosi, Kujitenga hadharani na watendaji kama hawa wa Kibamba kwa kuwakalipia na kuwaambia wananchi kuwa ccm hakijawatuma kuficha fomu za mgombea wa Chadema.
Pili, CCM itamke hadharani kuwa haiusiki na utekaji au kupiga watu risasi, Kama watendaji ndio walifanya CCM ijitenge nao, Tundu Lisu amegeuza makosa ya watendaji wa serikali kuwa ni ya CCM na wananchi wanayaamini huko Tunduma.
Huko Tunduma CCM imegeuzwa kama genge la utekaji, ufilisi wa mali za wakulima na wafanyabiashara na kundi la kihalifu kwa hoja alizozijenga Tundu lissu, Kosa sio CCM bali washauri na watendaji wa serikali.
Msimamizi wa uchaguzi Kibamba anakiabisha chama chetu cha CCM kwa kujenga chuki mbele ya wananchi
CCM hatuna hoja za kumjibu Tundu Lissu, tunakwamishwa na watendaji wa Serikali
Leo kuna kosa tena la Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Kibamba Mama Beatrice ameanza kukichafua chama kwa kuficha fomu halisi ya mgombea ubunge wa CHADEMA Jimbo la Kibamba.
Ni dhahiri ameanza kutengeneza chuki dhidi ya chama cha mapinduzi.
Mamlaka chukueni hatua kali juu ya hawa watu kama hawa, Huyu Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Kibamba wanatuchafulia chama mbele ya wananchi.
Kuna mbinu nyingi za kushinda uchaguzi ila sio za chuki na kuwakasirisha wananchi kama hii aliyotumia Mama Beatrice Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Kibamba.
Mama Beatrice ameficha fomu mwenyewe anasingizia amempa mtu asiyemfahamu.
Mbinu kama hizi ndizo Tundu lissu a nazidi kupata wafuasi wengi huko Tunduma Mbeya.
Leo Tundu Lissu amewaaminisha malaki ya wananchi Tunduma kuwa TRA inatumwa na CCM kufilisi wafanyabiashara na kubambika kesi kwa wafanyabiashra.
Kosa la watendaji wa TRA sasa CCM inabeba mzigo usiobebeka.
Hili la Kibamba Msimamizi wa uchaguzi tayari anampa nguvu Tundu Lisu Kuhubiri kuwa wasimamizi wa uchaguzi wanakibeba chama chetu cha ccm hivyo hatakubali matokeo.
Kuna mambo ya msingi chama changu cha CCM kinapaswa kufanya.
Mosi, Kujitenga hadharani na watendaji kama hawa wa Kibamba kwa kuwakalipia na kuwaambia wananchi kuwa ccm hakijawatuma kuficha fomu za mgombea wa Chadema.
Pili, CCM itamke hadharani kuwa haiusiki na utekaji au kupiga watu risasi, Kama watendaji ndio walifanya CCM ijitenge nao, Tundu Lisu amegeuza makosa ya watendaji wa serikali kuwa ni ya CCM na wananchi wanayaamini huko Tunduma.
Huko Tunduma CCM imegeuzwa kama genge la utekaji, ufilisi wa mali za wakulima na wafanyabiashara na kundi la kihalifu kwa hoja alizozijenga Tundu lissu, Kosa sio CCM bali washauri na watendaji wa serikali.
Msimamizi wa uchaguzi Kibamba anakiabisha chama chetu cha CCM kwa kujenga chuki mbele ya wananchi