Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,857
- 30,205
Mtwa...Kumbe mkongwe, unaandika kama kijana
Natafuta Sana vitabu vya Alfu Lela ulela, jamaa hodari kisiwani, mashimo ya mfalme sulemani na vya kufanana. Umesifiwa kuwa unahifadhi kumbukumbu, vipi nikikutembelea naweza kuvipata?Mtwa...
Wapi kaka uzee mzigo nimechoka kama mpira wa makaratasi.
Natafuta Sana vitabu vya Alfu Lela ulela, jamaa hodari kisiwani, mashimo ya mfalme sulemani na vya kufanana. Umesifiwa kuwa unahifadhi kumbukumbu, vipi nikikutembelea naweza kuvipata?
Anahifadhi kumbukumbu za wazee wake waliopigania uhuru, sio kumbukumbu ya vitabu vya hadithiNatafuta Sana vitabu vya Alfu Lela ulela, jamaa hodari kisiwani, mashimo ya mfalme sulemani na vya kufanana. Umesifiwa kuwa unahifadhi kumbukumbu, vipi nikikutembelea naweza kuvipata?
Mtwa...Natafuta Sana vitabu vya Alfu Lela ulela, jamaa hodari kisiwani, mashimo ya mfalme sulemani na vya kufanana. Umesifiwa kuwa unahifadhi kumbukumbu, vipi nikikutembelea naweza kuvipata?
Laki...Nyerere unamuelezea kwa mikato mikato sana, ingekuwa ni abdul sykes ungemuelezea kwa kirefu na bashasha