Wasifu wa hayati Pombe Magufuli kwenye wikipedia wapotosha

Sababu za kifo cha Nyerere hakijaandikwa , cha Mkapa hakijaandikwa kwanini waandoke kwa Magufuli tu. Hapa sijaelewa kwanini iwe yeye tu
Hapana sababu za kifo cha Julius Nyerere zilitangazwa na kuandika na hata za ben Mkapa! SOMA! SOMA! SOMA!
 
wanajamvi bila shaka mpo salama bukheril afya.
mimi naona niingiye moja kwa moja kwenye jambo lilionisibu hadi kuwaletea hapa. Kama tunavojua serikali ilivotangaza msiba wa rais hayati magufuli na ikaeleza kuwa sababu ya kifo chake ni ugonjwa wa moyo wa mfumo wa umeme, chaajabu wasifu uliondikwa kwenye wikipedia unaeleza kuwa sababu ya kifo chake ni ugonjwa wa Covid-19. Je wanajamvi huo hamuuoni kuwa ni upotoshaji?
View attachment 1828900
Acha uongo Wikipedia wanaeleza wazi chanzo cha kifo ni "Atrial Fibrillation".
Personal details
BornJohn Pombe Joseph Magufuli
29 October 1959
Chato, Tanganyika (now Tanzania)
Died17 March 2021 (aged 61)
Dar es Salaam, Tanzania
Cause of deathAtrial fibrillation[1]
Political partyChama Cha Mapinduzi
Spouse(s)Janeth Magufuli
Children7
EducationUniversity of Dar es Salaam (BS, MS, PhD)
 
wanajamvi bila shaka mpo salama bukheril afya.
mimi naona niingiye moja kwa moja kwenye jambo lilionisibu hadi kuwaletea hapa. Kama tunavojua serikali ilivotangaza msiba wa rais hayati magufuli na ikaeleza kuwa sababu ya kifo chake ni ugonjwa wa moyo wa mfumo wa umeme, chaajabu wasifu uliondikwa kwenye wikipedia unaeleza kuwa sababu ya kifo chake ni ugonjwa wa Covid-19. Je wanajamvi huo hamuuoni kuwa ni upotoshaji?
View attachment 1828900
Ni kweli alikufa na corona
 
Yako ni ya wapi?
Screenshot_20210625-094718.jpg
 
Miaka ya nyuma kipindi nasoma soma wikipedia, kulikuwa na uhuru wa mtumiaji yeyote kuongeza taarifa katika habari fulani, kwa miaka hii sijui kama uhuru huo bado upo maana si mtumiaji tena wa hiyo wikipedia. Kama bado wanaruhusu mtumiaji yeyote ku add information basi fanya hivyo ili kuzuia huo upotoshwaji.
RIP JPM, kwangu ulikuwa ni zaidi ya Rais.
Yeah ni marehemu
 
Acha uongo Wikipedia wanaeleza wazi chanzo cha kifo ni "Atrial Fibrillation".
Personal details
BornJohn Pombe Joseph Magufuli
29 October 1959
Chato, Tanganyika (now Tanzania)
Died17 March 2021 (aged 61)
Dar es Salaam, Tanzania
Cause of deathAtrial fibrillation[1]
Political partyChama Cha Mapinduzi
Spouse(s)Janeth Magufuli
Children7
EducationUniversity of Dar es Salaam (BS, MS, PhD)
Akili inawajia leo ee! naona uzi huu ulisaidia sana kuwa amsha usigizini, tangia msiba, wenzenu mabeberu wanaitangazia dunia kwenye wikipedia wasifu wa hayati JPM kuwa cause of his death is COVID-19 nyie hamna habari, leo ndio mnaenda kurekebisha, ajabu sana! Mwisho nampongeza mtu alienda kubadilisha taswira mbaya ile zidi ya mpendwa wetu Jpm mungu amlaze pema peponi
View attachment 1829172
 
Miaka ya nyuma kipindi nasoma soma wikipedia, kulikuwa na uhuru wa mtumiaji yeyote kuongeza taarifa katika habari fulani, kwa miaka hii sijui kama uhuru huo bado upo maana si mtumiaji tena wa hiyo wikipedia. Kama bado wanaruhusu mtumiaji yeyote ku add information basi fanya hivyo ili kuzuia huo upotoshwaji.
RIP JPM, kwangu ulikuwa ni zaidi ya Rais.
@expedition unastahili pongezi tele! Sababu wazo lako ulioliachia hapa kuwa zamani kulikua na uhuru wa kuongeza chochote kwenye WIKIPEDIA, vijana wetu wakuu wamelifanyia kazi na wakabadilisha taswira mbaya ile ya mpendwa wetu kuwa sababu ya kifo chake ni Covid-19 kwasasa sababu ya kifo ni atrial fibrillation.
nakupongeza kwa kutushitua na vijana kuifanyia kazi
View attachment 1829191
 
wanajamvi bila shaka mpo salama bukheril afya.
mimi naona niingiye moja kwa moja kwenye jambo lilionisibu hadi kuwaletea hapa. Kama tunavojua serikali ilivotangaza msiba wa rais hayati magufuli na ikaeleza kuwa sababu ya kifo chake ni ugonjwa wa moyo wa mfumo wa umeme, chaajabu wasifu uliondikwa kwenye wikipedia unaeleza kuwa sababu ya kifo chake ni ugonjwa wa Covid-19. Je wanajamvi huo hamuuoni kuwa ni upotoshaji?
View attachment 1828900
Umeweka attachment badala ya link, JF wameiblock
 
wanajamvi bila shaka mpo salama bukheril afya.
mimi naona niingiye moja kwa moja kwenye jambo lilionisibu hadi kuwaletea hapa. Kama tunavojua serikali ilivotangaza msiba wa rais hayati magufuli na ikaeleza kuwa sababu ya kifo chake ni ugonjwa wa moyo wa mfumo wa umeme, chaajabu wasifu uliondikwa kwenye wikipedia unaeleza kuwa sababu ya kifo chake ni ugonjwa wa Covid-19. Je wanajamvi huo hamuuoni kuwa ni upotoshaji?
View attachment 1828900
Serikali hiyo hiyo ilitutangazia JPM ni mzima, yuko ofisini na anapiga kazi. Wakati mtu alishakufa. Hivyo ni ngumu kuamini wasemalo serikali. Bora wikipedia
 
wanajamvi bila shaka mpo salama bukheril afya.
mimi naona niingiye moja kwa moja kwenye jambo lilionisibu hadi kuwaletea hapa. Kama tunavojua serikali ilivotangaza msiba wa rais hayati magufuli na ikaeleza kuwa sababu ya kifo chake ni ugonjwa wa moyo wa mfumo wa umeme, chaajabu wasifu uliondikwa kwenye wikipedia unaeleza kuwa sababu ya kifo chake ni ugonjwa wa Covid-19. Je wanajamvi huo hamuuoni kuwa ni upotoshaji?
View attachment 1828900
Ni uzandiki
 
Sisi tunafahamu ni tatizo la moyo,lakini duniani kote wanasema ni COVID-19.Hata majuzi niligombana na mmarekani mmoja kwa jambo hilihili.
Hahahaha charaza bakola huyo beberu , mkuu yaonesha unatembea kifua mbele kama matakwa ya awamu ya 5
 
Back
Top Bottom