Wasifu wa hayati Pombe Magufuli kwenye wikipedia wapotosha


πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!

IMG_20210624_224243_252.jpg
 
wanajamvi bila shaka mpo salama bukheril afya.
mimi naona niingiye moja kwa moja kwenye jambo lilionisibu hadi kuwaletea hapa. Kama tunavojua serikali ilivotangaza msiba wa rais hayati magufuli na ikaeleza kuwa sababu ya kifo chake ni ugonjwa wa moyo wa mfumo wa umeme, chaajabu wasifu uliondikwa kwenye wikipedia unaeleza kuwa sababu ya kifo chake ni ugonjwa wa Covid-19. Je wanajamvi huo hamuuoni kuwa ni upotoshaji?
View attachment 1828900
Heheh wacha nikaushe tu maana mazombie watanivamia hata kama sijaandika hapa πŸ˜ƒ
 
wanajamvi bila shaka mpo salama bukheril afya.
mimi naona niingiye moja kwa moja kwenye jambo lilionisibu hadi kuwaletea hapa. Kama tunavojua serikali ilivotangaza msiba wa rais hayati magufuli na ikaeleza kuwa sababu ya kifo chake ni ugonjwa wa moyo wa mfumo wa umeme, chaajabu wasifu uliondikwa kwenye wikipedia unaeleza kuwa sababu ya kifo chake ni ugonjwa wa Covid-19. Je wanajamvi huo hamuuoni kuwa ni upotoshaji?
View attachment 1828900
Aliekuambia ugonjwa wa moyo nani,mtu kapigwa covid tumefunga mjadala
 
Swali:

Toka uzaliwe umeshawahi kusikia serikali ikitoa taarifa kwamba kiongozi huyu kilichomuua ni UKIMWI?.

Je! Wewe kwa akili yako unaamini kabisa toka uzaliwe kwamba hakuna kiongozi yeyote ambae kafariki kwa ukimwi?.
 
Swali:

Toka uzaliwe umeshawahi kusikia serikali ikitoa taarifa kwamba kiongozi huyu kilichomuua ni UKIMWI?.

Je! Wewe kwa akili yako unaamini kabisa toka uzaliwe kwamba hakuna kiongozi yeyote ambae kafariki kwa ukimwi?.
Mkuu inawezekana kuwa hakuna kiongonzi aliefariki kwa ugonjwa wa ukimwi, sababu viongozi wote duniani hawazidi 250 hiyo ni sawa ukakuta watu zaidi ya 500 walio kusanyika pamoja ukute wote hawana ukimwi
 
wanajamvi bila shaka mpo salama bukheril afya.
mimi naona niingiye moja kwa moja kwenye jambo lilionisibu hadi kuwaletea hapa. Kama tunavojua serikali ilivotangaza msiba wa rais hayati magufuli na ikaeleza kuwa sababu ya kifo chake ni ugonjwa wa moyo wa mfumo wa umeme, chaajabu wasifu uliondikwa kwenye wikipedia unaeleza kuwa sababu ya kifo chake ni ugonjwa wa Covid-19. Je wanajamvi huo hamuuoni kuwa ni upotoshaji?
View attachment 1828900
We jamaaa wikipedia ni website ya kimataifa so haiwezi andika uongo kama waziri mkuu aliedanganya watu kuwa rais ni mzima kumbe kashafariki😭😭😭😭😭
 
Hii Katuni ilituchekesha wengi sana nakumbuka ilichorwa April, 2020 baada ya jamaa kukimbia Ikulu siku chache kabla ya Pasaka ya 2020 na kwenda kujichimbia chato kwa miezi miwili. Na Watanzania mbali mbali katika social media walianza kumzodoa kwamba chato hakuna Ikulu hivyo arudi Dar/Dom haraka ili kuendesha nchi lakini hakufanya hivyo hadi mwishoni mwa May 2020 kama sikosei tena kwa njia ya barabara.

#Nimecheka kwa uchungu sana,hasa hapo anapo sali na kuona kidubwana kinamfuata tu akaona ni hekima atoke baru.....!
 
Mkuu inawezekana kuwa hakuna kiongonzi aliefariki kwa ugonjwa wa ukimwi, sababu viongozi wote duniani hawazidi 250 hiyo ni sawa ukakuta watu zaidi ya 500 walio kusanyika pamoja ukute wote hawana ukimwi
Nimemaanisha tanzania sio tunia mzima
 
Sababu za kifo cha Nyerere hakijaandikwa , cha Mkapa hakijaandikwa kwanini waandoke kwa Magufuli tu. Hapa sijaelewa kwanini iwe yeye tu
 
Miaka ya nyuma kipindi nasoma soma wikipedia, kulikuwa na uhuru wa mtumiaji yeyote kuongeza taarifa katika habari fulani, kwa miaka hii sijui kama uhuru huo bado upo maana si mtumiaji tena wa hiyo wikipedia. Kama bado wanaruhusu mtumiaji yeyote ku add information basi fanya hivyo ili kuzuia huo upotoshwaji.
RIP JPM, kwangu ulikuwa ni zaidi ya Rais.
Hakuna kitu mjomba !!! Viatu vya urais vilikua vikubwa mnoo kwake huo ndio ukweliii
 
Miaka ya nyuma kipindi nasoma soma wikipedia, kulikuwa na uhuru wa mtumiaji yeyote kuongeza taarifa katika habari fulani, kwa miaka hii sijui kama uhuru huo bado upo maana si mtumiaji tena wa hiyo wikipedia. Kama bado wanaruhusu mtumiaji yeyote ku add information basi fanya hivyo ili kuzuia huo upotoshwaji.
RIP JPM, kwangu ulikuwa ni zaidi ya Rais.
Ukitaka kudharaulika msifie mwendazake
 
Hii yote ni kuchukiwa na wazungu.
Dunia hii bora uchukiwe na shetani, kuliko kuchukiwa ni wazungu wa ulaya na marekani watakuandama hata ukiwepo kaburini
Mzungu akichukie wewe masikini hata milo nitatu hatuwezi!!?? Mnashindwa kua na sera nzuri mnasingizia wazungu ???? Oooh vita ya kiuchumi, oooh mabeberu, ooooh nyokonyoko kumbe akili za kuleta maendeleo ya kisiasa kiuchumi hakuna
 
Back
Top Bottom