ndugu wanajamii nimejaribu kufuaatilia hii post tokea mwanzo nimegundua humujamvini kuna watu wana mawazo mgondo kuhusiana na ishu za udini na wapi mtu anapotoka. tafadhali katika kufanikisha ukombozi jaribu kuangalia nani anakusaidia kufikia hiyo nia yako na sio kuangalia huyu ni nani na anatoka wapi. kwa lugha rahisi wale wote walioshindwa wanatumia kigezo cha udini na ukabila kama kigezo cha kuua mada yenyewe. eleweni hawa machallii wa arusha ndo chachu ya maendeleo na yote yaliyotokea arusha yatawasumbua viongozi wa dini kwa muda wote waliopo madarakani.viva arusha think big this is just the begining.
once bob marley says emancipate yourself from mentaly slavery non but ourself can free our mind.
once bob marley says emancipate yourself from mentaly slavery non but ourself can free our mind.