Hute
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,537
- 6,458
kwanini wanamhisi kama ni jambazi wa magari wa zamani? halafu yeye hajajisafisha? pia, mbona yeye ni mtu wa fujo sana kuliko chadema wengine? maneno yake siku zote ni makali, si ajifunze kwa mbowe? vita ya ufisadi haipiganwi hivyo, haitakiwi kwenda kwa violence kila approach, wakati mwingine unatakiwa uwe na timing, kuna wakati wa fujo na wakati wa amani, yeye hata akiongea tu hapa utajua kuwa huyu jamaa si mtu mzuri, chadema kwanini wasimkalishe kikao wampe ushauri nasaha?..unajua anachafua chadema, kwamba cdm ni watu wa fujo kwasababu ya watu kama hawa? kwanini asishindane kwa hoja kama Dr.slaa na mbowe etc, walau hata zito na mnyika tu, ila ukimtaja lema, huwa simwelewi kabisa. kama ananisikia naomba ajirekebishe. halafu ajisafishe ili tuelewe cv yake vizuri na mali hizo alizo nazo alizipataje, na ile issue ya yeye na zombe, ni kweli?