Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 10,315
- 6,845
Hapo ndiyo ujue kuwa Tanzania is a very significant country kwa Marekani, ila tulio wengi hatujui kabisa hilo. Tanzania ina ubalozi mkubwa wa Marekani kuzidi nchi zote Afrika. Ni huu mpya uliojengwa baada ya tukio la mwaka 1998 la balozi za Kenya na Tanzania.Yule ni alikua mfuasi wa Trump naona idiology ya Joe Biden kwa aliekuwepo haziendani