Wasifu Uliotukuka wa Mhadhama Kadinali Polycarp Pengo ( Cardinal Priest) Anayetokea Nchini Tanzania

Sasa kuna uhusiano gani kati ya Uislamu na Ukatoliki?
Kuna namna ya kipuuzi unalazimisha vitu viwe na uhusiano usiokuwa na mantiki.
Kama umeshindwa kuelewa nilichoandika aisee.huna hadh ya kuendelea kulumbana na mim..phrase ndogo tu hii umeishindwa..daaaaaaaah..

Tatzo kubwa hili hami j
 
Kardinali ambaye hatasahaulika katika Afrika, Tanzania na Ziwa Magharibi ni mhashamu Ta Kardinari Rugambwa. Hakuna mtu anaweza rekordi hotuba yake yeyote lakini watu watahesabu maendeleo aliyoletea Ziwa Magharibi kwa kujenga shule, hospitali na vyuo.

Alipohamishiwa Dar aliendelea na kazi zake za kuleta maendeleo kimya. Huyu ndiye aliyekosakosa kuwa papa wa kwanza Mwafrika. Rugambwa hakupenda maneno bali matendo.
 
Huyu Baba alifumbia macho udhalimu uliokuwa ukiendelea.
Imetia doa sifa yake njema aliyojenga kwa mda mrefu.
 
Kardinali ambaye hatasahaulika katika Afrika, Tanzania na Ziwa Magharibi ni mhashamu Ta Kardinari Rugambwa. Hakuna mtu anaweza rekordi hotuba yake yeyote lakini watu watahesabu maendeleo aliyoletea Ziwa Magharibi kwa kujenga shule, hospitali na vyuo.

Alipohamishiwa Dar aliendelea na kazi zake za kuleta maendeleo kimya. Huyu ndiye aliyekosakosa kuwa papa wa kwanza Mwafrika. Rugambwa hakupenda maneno bali matendo.
Mbona Papa kutoka africa mbona walikuwepo
 
Na hyo kaul ndo ilimpoteza gwaj boy kwenye raman had alipoombewa msamaha na makonda..hahahah...usicheze na kanisa katolik chifu.....ndomana had leo hakuna kiongoz rais mkristo ambae si mkatolik...si bahat mbaya hyo chifu..hahahah...utajua hujui
Hamna kitu yule
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom