Je atatoboa?"Suala la kupewa tuzo hii nimelipokea kwa unyenyekevu mkubwa lakini nilijiuliza maswali kadhaa, sababu huko nyuma nilijaribu kuitafuta shahada hii lakini muda haukunipa nafasi...
Mimi sina tatizo na samia ila hapo unapomaanisha eti raisi ana akili nyingi mimi nabisha kabisa ,maraisi waliokawa vipanga nchi hii ni Nyerere na mkapa ila hawa wengine elimu zao ni za kawaida mnoUkipewa wewe utaikataa?
kujifanya una akili kubwa kuliko rais sio poa.
Gundua basi hata kiwembe ili uwe umeifanyia kazi hiyo akili yako kubwa
Endelea kuugulia huko huko na akili zako kubwa huku ukiumsujudia marehemu as PhD fake(core) mengine Ni wivu tuu unakusumbua."Suala la kupewa tuzo hii nimelipokea kwa unyenyekevu mkubwa lakini nilijiuliza maswali kadhaa, sababu huko nyuma nilijaribu kuitafuta shahada hii lakini muda haukunipa nafasi....
Marais waliokuwa na Akili Kubwa ( Intelligent ) Tanzania walikuwa ni Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Hayati Baba wa Uchumi Mkapa na Hayati Baba wa Miundombinu, Uthubutu na Nidhamu Dk. Magufuli na ambao sijawataja sikuona na sioni bado cha maana Kwao kwa Maendeleo ya Tanzania.Mimi sina tatizo na samia ila hapo unapomaanisha eti raisi ana akili nyingi mimi nabisha kabisa ,maraisi waliokawa vipanga nchi hii ni Nyerere na mkapa ila hawa wengine elimu zao ni za kawaida mno
Chuo Kikuu cha Critical and Rational Thinkers Tanzania nzima kilichomzalisha Genius GENTAMYCINE na Wengineo.tatizo umesoma SAUT
Kama 'Aliyekuzaa' vile.MPUMBAVU UTAMJUA TU...
👍Marais waliokuwa na Akili Kubwa ( Intelligent ) Tanzania walikuwa ni Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Hayati Baba wa Uchumi Mkapa na Hayati Baba wa Miundombinu, Uthubutu na Nidhamu Dk. Magufuli na ambao sijawataja sikuona na sioni bado cha maana Kwao kwa Maendeleo ya Tanzania.
"Suala la kupewa tuzo hii nimelipokea kwa unyenyekevu mkubwa lakini nilijiuliza maswali kadhaa, sababu huko nyuma nilijaribu kuitafuta shahada hii lakini muda haukunipa nafas...
Kitendo cha kufanya nchi itulie; watu hawatekwi wala kupigwa risasi, hakuna watu wanatupwa kwenye viroba baharini, watoto waliopata mimba wanasoma, wafanya biashara hawanyang'anywi fedha kinatosha tu kustahili hiyo Honoris CausaBinafisi mimi katika wasifu huu sioni hoja ambazo zinajustfy hadi kutunukiwa PhD hii ya heshima ni wazi weledi na misingi ya taasisi kama hii ya elimu ya juu havipo tena zaidi ya kufuata matakwa binafisi ya watu na wanasiasa, it have been reached a period where the country is rotten in every where.
Kunywa maji utoe stress Mkuu. Mbona unapandisha sukari kwa shahada ya heshima? Achana na UDSM fanya yako kama na wewe una ka Back au ka BA kakoKuna mambo ya ovyo sana barani afrika. especially Tanzania.
Kuna mambo lukuki udsm, wanatakiwa kufanya siyo kupiga porojo za kisiasa...
Yapo mengi ameyagundua. Au huna habari na royotua na tozo?Huyo rais wako wshagundua Nini?
nonsense.