Mwinjilist mtume nabii
JF-Expert Member
- Feb 21, 2015
- 2,437
- 1,097
Mungu awasaidie wasichana hasa wenye level za degree,na kuwa na kazi ambayo wao wanaiona kuwa ni nzuri, wametokea kuziamini sana degree na kazi zao kama ndio kinga au ulinzi katika mahusiano/ndoa zao.
Wakiamini kwamba waume zao hawawezi kuchepuka eti kwa sababu ya elimu na kazi na mishahara wanayopata lakini ndo wanaoongoza kwa kuzaa ovyo watoto wasio na baba.
Na hii ni kwa sababu wametegemea elimu zao wakamuacha Mungu na walipoona majamaa wa degree wenzao wamewasaliti,wakaamua kuingia kwa wa form 4/6 wakizani ndoa itadumu kwamba wa form 4 ataogopa kumsaliti kwa sababu labda eti wana degrees na kazi nzuri.
Na hatimaye kumejikuta huyohuyo wa form 4 ndo amechepuka,tena kwa binti wa kawaida kabisa na ndipo sasa uchungu wake wanatamani hata wangezikwa wazimawazima.
Maana sasa wanajiona wamekwishapoteza thamani tena ingawa umri wao bado.
Lakini bado natoa wito, ili thamani yako irudi,mrudie Mungu ili yeye awe mlinzi na mtetezi wako. Yeremia15:19-22.
Wakiamini kwamba waume zao hawawezi kuchepuka eti kwa sababu ya elimu na kazi na mishahara wanayopata lakini ndo wanaoongoza kwa kuzaa ovyo watoto wasio na baba.
Na hii ni kwa sababu wametegemea elimu zao wakamuacha Mungu na walipoona majamaa wa degree wenzao wamewasaliti,wakaamua kuingia kwa wa form 4/6 wakizani ndoa itadumu kwamba wa form 4 ataogopa kumsaliti kwa sababu labda eti wana degrees na kazi nzuri.
Na hatimaye kumejikuta huyohuyo wa form 4 ndo amechepuka,tena kwa binti wa kawaida kabisa na ndipo sasa uchungu wake wanatamani hata wangezikwa wazimawazima.
Maana sasa wanajiona wamekwishapoteza thamani tena ingawa umri wao bado.
Lakini bado natoa wito, ili thamani yako irudi,mrudie Mungu ili yeye awe mlinzi na mtetezi wako. Yeremia15:19-22.