Mshinga
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 3,532
- 1,124
hii ni ajabu kidogo,na sijui chanzo ni nini,wasichana wengi ni watiifu na wanyekevu kweli kwa wazazi wao,ndugu zao na kwa kaka zao.
Kimbembe kianza pale tu msichana anapofanyiwa uzinduzi rasmi,anajaa kiburi kwa wazazi,hatekelezi tena maelekezo ya wazazi,hata akikamatwa na kosa zaidi ya mara moja haogopi tena kulirudia,kaka zake ndo watamkoma,hao anawaona kama wadogo zake vile.
Kwa kiasi kikubwa wanawake wengi wamepitia tabia hii.
Wale walokole inapofikia hapo wanasema ni pepo la ngono.
Msichana akikatazwa kufanya kitu ananuna siku nzima.
Kimbembe kianza pale tu msichana anapofanyiwa uzinduzi rasmi,anajaa kiburi kwa wazazi,hatekelezi tena maelekezo ya wazazi,hata akikamatwa na kosa zaidi ya mara moja haogopi tena kulirudia,kaka zake ndo watamkoma,hao anawaona kama wadogo zake vile.
Kwa kiasi kikubwa wanawake wengi wamepitia tabia hii.
Wale walokole inapofikia hapo wanasema ni pepo la ngono.
Msichana akikatazwa kufanya kitu ananuna siku nzima.