Mustaphagentleman
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 3,954
- 3,011
Nishazoea mbona yani ukunitongoza wala sistuki kabisa nakuchora unavopiga mistari Ukiniona unang'ata Lips eeeeh na Macho yanazimikaaa unaumwaaaaa
Haha...hamna ukitaka kula nyuki fuata asaliMbona uko bize kujibu za kwao,
Unatafuta mtongozo mkuu
Ulikua mshambaNiliwahi tongozwa enzi izo npo form 2 kiukwel nilimpiga chini yule kibonge wa darasa, na ile kitu ilimuumiza sana kisaikolojia hadi nkajuta kumkataa waziwazi!
Sio ushamba mkuuUlikua mshamba
Tuna moyo wa huruma sana.Bt if jamaa akija kufuatilia mzigo nw utaanza kupata huruma..
Wanawake bwana
Tuna moyo wa huruma sana.
I bet una muonekano mzuri sanaDah mara yakwanza kutamkiwa na demu kama ananipenda nakumbuka nilikuwa na miaka kama 10 ivi, aisee nilijiskia wapekee sana, yani yule demu alikuwa mkubwa kwangu kama miaka 4 mbele, basi akawa ananiambia yale maneno huku ananishika kidevu mara anipapase, aisee wanawake wanajua kutongoza sana..
Ila baadae nilikuja kuona ni vitu vya kawaida baada ya kujitokeza wengi nikaanza kuwakataa sasa
We nae wanaume huwa hawaulizi hvyo viswali bhana.Kuna mmoja mm bado ananiuliza alinitamkia nikamuuliza Kwa nini amenipenda lkn mpaka Leo hii anasema eti Nina dharau!
Hawa wanawake wana visa kweli
Kwel kabisa dada faizaKumwambia mwanamme nnakupenda si tatizo, tatizo mnawavulia chupi kabla ya ndoa.
Hata zamani tukijuwa kupenda tena sana kuliko hizi I love you I love you zenu za siku hizi za kinafik. Lakini hatukuthubutu kumfungulia mwanamme kufuli kabla ya ndoa. Thubutu eti aku kiss.
Nakupenda zetu ziliishia kwenye makaratasi na kutumiana picha tu. Akiweza analeta posa mnaoana, kama hawezi imekula kwake akajichue huku anaikodolea picha.
Tukioana mwanamke bikra mwanamme bikra, raha ilioje. Wote hamjui muanzie wapi na kufundwa kote lakini thubutu ufunguwe paja lako siku za mwanzo, lazima ahenyeke.
Hakika wanawake tulikuwa na thamani isiyo na mfano, tunawasikitikia sana mabinti wa leo mnaoona kujiweka nusu uchi ndiyo mmeendelea.
si ndio maana ukamkubalia yule jamaa wa magorofani
Ww umepigwa makofi na wangapi?,yaani kama na wao wasichana wangekuwa wanatwanga makifi basi mtaani ingekuwa kama baruti maana ingekuwa paaaa paaa paaaaaa kila sehem kila dakika
Mi msichana akinitongoza tu hata hisia zinakata kwake ila kimbembe huwa kinakuwa pale ninapompenda msichana na kuamua kumtongoza, dah huwa hawanipendi kabisa sijui nina damu ya kunguni?