ARCHBISHOP
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 271
- 484
Mkuu si kweli, Mimi binafsi nilishatongozwa na wanawake zaidi ya watatu,,,rakini muda wote nilijikuta namtafakari sana huyo MTU, na nikimkumbuka mwanamke niliyemtongoza mwenyewe nakumwahidi kumwoa nikawa naishiwa na nguvu nakujikuta nikichomoa kwa akili, nashukuru mke wangu nilimtongoza 2006 na tukaoana mwaka 2015, hao wote wamekuja baada ya hapo ila siujui uchi wa mwanamke yeyote tofauti na wife since 2006.Hakuna mwanaume wa kukataa papuchi, hatuchagui.. sema utakachokosa n upendo... wewe mwanaume yeyote unayo muona hapo barabarani mwambie "Nakupenda" akili mwake kinachokuja n papuchi tu, swala la upendo sahau kabisa... ila papuch haikimbiwi, ndio maana hadi wanawake vichaa wana watoto