Wasichana/Wanawake waliowahi kuwatongoza wanaume njooni mshuhudie

Hakuna mwanaume wa kukataa papuchi, hatuchagui.. sema utakachokosa n upendo... wewe mwanaume yeyote unayo muona hapo barabarani mwambie "Nakupenda" akili mwake kinachokuja n papuchi tu, swala la upendo sahau kabisa... ila papuch haikimbiwi, ndio maana hadi wanawake vichaa wana watoto
Mkuu si kweli, Mimi binafsi nilishatongozwa na wanawake zaidi ya watatu,,,rakini muda wote nilijikuta namtafakari sana huyo MTU, na nikimkumbuka mwanamke niliyemtongoza mwenyewe nakumwahidi kumwoa nikawa naishiwa na nguvu nakujikuta nikichomoa kwa akili, nashukuru mke wangu nilimtongoza 2006 na tukaoana mwaka 2015, hao wote wamekuja baada ya hapo ila siujui uchi wa mwanamke yeyote tofauti na wife since 2006.
 
mwanaume huwa hakatai mwanamke ( wapo wanaokataa lakin ni 0.001%)

anakukubalia, anakula mzigo, anasepa na kumuachia maumivu makali binti.

mimi niliwahipendwa na mdada mmoja nikiwa 4th year chuoni! niliishia kula zawadi zake lakin sikula mzigo! naamini hakuumia sana coz nilimmimina taratibu baada ya mimi kuondoka mazingira ya chuo.

ila ni bahati iliyoje kutongozwa na binti, alaf na wewe ukampenda! utapata raha dunia hii..
 
Basi mi kulikuwa na mademu wa2 moja nikawa nampenda kishenz mwingine sina hisia nae. Yule nampenda akawa akawa hataki kuachia zigo. Nisiempenda anajua kinachoendelea basi 1day kanita sehem kanza kulalamika yeye simpendi...basi nampenda mwenzie nikamwambia najiheshimu nishanza kutongoza mwenzako kwako cwez sio vizuri...cwez basi tikaendelea na kinywaji tukaondoka... second day kanita tena tukakutana sehem hakusema lolote tukaka basi tukagana kaingia gari lake nkaingia langu kapiga honi kanita nikaenda kaniambia barua yako kanikanipa bahasha nafungua nikakuta dollar 800 heee nkashangaaaà... nikamuliza barua sielewi kasema zawadi yako ok poa..... kanipigia after 2days kaniambia tukutane nikaenda kanunua kaniambia tunywe pombe poa kagiza amarulla mi nikanywa smirnoff vodika whisky . Kama 1hr kasema twende sehem private tunywee huko nikasema siwez baada ya Mda nikamwambia nimeitwa na kaka nitaondoka kalalamika. Hunipendi unapenda fulan ambae anahela ila bahiri yule mwenzie. kafunguka nakupenda Hunipendi sio vixuri nikufanyie nini unipende nikamwambie nimekulewa...kasema basi naomba wknd twende zanzibar nikasema poa akauliza sure nikaitikia ndio nikamwqmbia niruhusu Bro ananita poa poa kasema shika jiandalie kwa ajili ya zanzibar katoa 1m kaniambia nifanye manunuzi ninachohitaji ninachohitaji nikamwqmbia asante nikopoa ckuchukua nikaondoka ckutaka kuonana nae tena maana roho yang haikivutiwa nae nikakoma na mwenzake kaninyima manina zake
Hahahahahahahha...mwenzaka akafanya nini
 
Habari wakuu,


Enzi za wazazi wetu ilikuwa ngumu sana kwa msichana kumwambia mwanaume nakupenda.

Ila siku hizi kwa msichana kumwambia mwanaume nakupenda imekuwa ni kawaida.

Na hii imesababishwa na utandawazi, lakini imesaidi wasichana nao kueleza hisia zao kwa wanaume wawapendao.

Tuje kwa yaliyowahi nikuta;

Nimeamua kuandika haya kwakuwa yalinikutaga kabla sijampata baba watoto wangu..ilikuwa hivi;

Nilitokea kumpenda kaka mmoja tena alikuwa na umri kunizidi, nikawa najaribu kuwa karibu nae nikihisi kuwa angekuja kuniambia ananipenda ajabu ni kuwa haikuwa hivyo, siku zikaenda.

Siku moja tukiwa hoteli fulani nilimuona, nilimfuata na tukawa tunaongea namna ya kufanya (marketing) basi nikapata chance tukabadilishana namba na ndio ikawa mwanzo wamawasiliano, mwishowe tukawa tunatoka naye.

Nakumbuka siku hiyo tukiwa katika gari nilishindwa kujizuia nikajikuta nishamwambia nampenda, alinikiss na mapenzi yakaanza..nilichukia kutongoza ila ndio hivyo ''penzi ni kikohozi ukilificha huliwezi''.

Nifupishe tu...Mwishowe niliona hanipendi na alikuwa haonyeshi kujali hisia zangu..niliumia sanaa..nililia na kujuta kumwambia nampenda.. kwakuwa ilikuwa ngumu kumtoa moyoni ila nikaamua kumuacha kwa shida sana.

Nawasilisha
Pole sana dd yngu
 
nyie mdemu mnatulaumu tu wanaume toka Enzi na Enzi tulikwisha andikiwa tutakula kwa jasho yan demu kajileta tu mwenyewe nimekaa naskia brd nimevaa koti sijatoka hata jasho kumsotea duh hiyo ni nyamafu swala lazima nimuwinde mimi mwenyewe naniporudi nimemkamata shingo nanyonya damu moto polepole kabla sijaanza kumla nyama na miuno feni /propel/panga boi/ lazma ihusike ili kulipia jasho but wereeeeeeeevaaaaaa! wanaume eeee mwanaume aaaaaa
 
Back
Top Bottom