Danpol
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 5,682
- 8,809
mama n sweet Mankahahahahahha kwani weye mchagaaaa????
mama n sweet Mankahahahahahha kwani weye mchagaaaa????
Pole piaSeems the same to mi
Pole sanaHabari wakuu,
Enzi za wazazi wetu ilikuwa ngumu sana kwa msichana kumwambia mwanaume nakupenda.
Ila siku hizi kwa msichana kumwambia mwanaume nakupenda imekuwa ni kawaida.
Na hii imesababishwa na utandawazi, lakini imesaidi wasichana nao kueleza hisia zao kwa wanaume wawapendao.
Tuje kwa yaliyowahi nikuta;
Nimeamua kuandika haya kwakuwa yalinikutaga kabla sijampata baba watoto wangu..ilikuwa hivi;
Nilitokea kumpenda kaka mmoja tena alikuwa na umri kunizidi, nikawa najaribu kuwa karibu nae nikihisi kuwa angekuja kuniambia ananipenda ajabu ni kuwa haikuwa hivyo, siku zikaenda.
Siku moja tukiwa hoteli fulani nilimuona, nilimfuata na tukawa tunaongea namna ya kufanya (marketing) basi nikapata chance tukabadilishana namba na ndio ikawa mwanzo wamawasiliano, mwishowe tukawa tunatoka naye.
Nakumbuka siku hiyo tukiwa katika gari nilishindwa kujizuia nikajikuta nishamwambia nampenda, alinikiss na mapenzi yakaanza..nilichukia kutongoza ila ndio hivyo ''penzi ni kikohozi ukilificha huliwezi''.
Nifupishe tu...Mwishowe niliona hanipendi na alikuwa haonyeshi kujali hisia zangu..niliumia sanaa..nililia na kujuta kumwambia nampenda.. kwakuwa ilikuwa ngumu kumtoa moyoni ila nikaamua kumuacha kwa shida sana.
Nawasilisha
Hhaahahahhahahahahhahaaaunaona jaribu uone kama nitakataa, nisipo kataa unamwambia huyo jamaa n bahat mbaya tu, ulikua unajaribu alafu sikukataa
Ila kwa sasa nadhani mambo ni shwariAsante mkuu
Apo sawaMambo poa kabisaa
Ingekuwa ni Mimi umeniambia nisingekuacha hadi kiyama. Mimi sipendagi kudhania dhania kuwa napendwa, nnachopenda ni kuthibitishiwa kwa maneno na matendo. Usijute, hukufanya kosa kumuambia, hukujua unayemuambia ni wa taipu gani. Huyo ni miongoni mwa wanaume wanaopenda kusumbuliwa na kuchunwa sana ndo waamini kuwa wanapendwa.Habari wakuu,
Enzi za wazazi wetu ilikuwa ngumu sana kwa msichana kumwambia mwanaume nakupenda.
Ila siku hizi kwa msichana kumwambia mwanaume nakupenda imekuwa ni kawaida.
Na hii imesababishwa na utandawazi, lakini imesaidi wasichana nao kueleza hisia zao kwa wanaume wawapendao.
Tuje kwa yaliyowahi nikuta;
Nimeamua kuandika haya kwakuwa yalinikutaga kabla sijampata baba watoto wangu..ilikuwa hivi;
Nilitokea kumpenda kaka mmoja tena alikuwa na umri kunizidi, nikawa najaribu kuwa karibu nae nikihisi kuwa angekuja kuniambia ananipenda ajabu ni kuwa haikuwa hivyo, siku zikaenda.
Siku moja tukiwa hoteli fulani nilimuona, nilimfuata na tukawa tunaongea namna ya kufanya (marketing) basi nikapata chance tukabadilishana namba na ndio ikawa mwanzo wamawasiliano, mwishowe tukawa tunatoka naye.
Nakumbuka siku hiyo tukiwa katika gari nilishindwa kujizuia nikajikuta nishamwambia nampenda, alinikiss na mapenzi yakaanza..nilichukia kutongoza ila ndio hivyo ''penzi ni kikohozi ukilificha huliwezi''.
Nifupishe tu...Mwishowe niliona hanipendi na alikuwa haonyeshi kujali hisia zangu..niliumia sanaa..nililia na kujuta kumwambia nampenda.. kwakuwa ilikuwa ngumu kumtoa moyoni ila nikaamua kumuacha kwa shida sana.
Nawasilisha
Alinyonya mafutaMleta mada alikubaliwa, baada ya kuunganisha vikojoleo akatoswa! Ilimuuma sana!
Natamani ningekuwa ndio nimekwambia wewe..Ingekuwa ni Mimi umeniambia nisingekuacha hadi kiyama. Mimi sipendagi kudhania dhania kuwa napendwa, nnachopenda ni kuthibitishiwa kwa maneno na matendo. Usijute, hukufanya kosa kumuambia, hukujua unayemuambia ni wa taipu gani. Huyo ni miongoni mwa wanaume wanaopenda kusumbuliwa na kuchunwa sana ndo waamini kuwa wanapendwa.
Kwa sensa ipii.,Hizo assumptions zinawaponza sanaa.,kudengua muhimutatizo wanawake hudengua sana, yani mpaka ujibebishee, umpe maneno ya kihindi wakati wanawake wako milion 3 na wanaume wako million 1
Kama bado upo singo, kama umewahiwa namheshimu aliyekuwahi. Dumu naye.Natamani ningekuwa ndio nimekwambia wewe..
hehhehe dahHabari wakuu,
Enzi za wazazi wetu ilikuwa ngumu sana kwa msichana kumwambia mwanaume nakupenda.
Ila siku hizi kwa msichana kumwambia mwanaume nakupenda imekuwa ni kawaida.
Na hii imesababishwa na utandawazi, lakini imesaidi wasichana nao kueleza hisia zao kwa wanaume wawapendao.
Tuje kwa yaliyowahi nikuta;
Nimeamua kuandika haya kwakuwa yalinikutaga kabla sijampata baba watoto wangu..ilikuwa hivi;
Nilitokea kumpenda kaka mmoja tena alikuwa na umri kunizidi, nikawa najaribu kuwa karibu nae nikihisi kuwa angekuja kuniambia ananipenda ajabu ni kuwa haikuwa hivyo, siku zikaenda.
Siku moja tukiwa hoteli fulani nilimuona, nilimfuata na tukawa tunaongea namna ya kufanya (marketing) basi nikapata chance tukabadilishana namba na ndio ikawa mwanzo wamawasiliano, mwishowe tukawa tunatoka naye.
Nakumbuka siku hiyo tukiwa katika gari nilishindwa kujizuia nikajikuta nishamwambia nampenda, alinikiss na mapenzi yakaanza..nilichukia kutongoza ila ndio hivyo ''penzi ni kikohozi ukilificha huliwezi''.
Nifupishe tu...Mwishowe niliona hanipendi na alikuwa haonyeshi kujali hisia zangu..niliumia sanaa..nililia na kujuta kumwambia nampenda.. kwakuwa ilikuwa ngumu kumtoa moyoni ila nikaamua kumuacha kwa shida sana.
Nawasilisha