Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,631
- 1,926
Katika gazeti la leo la Uhuru, maoni ya editor , wanazungumzia eti kwamba wasichana waliozaa wakiwa shuleni wasiruhusiwe kuendelea na masomo kwa sababu hawawezi kufanya vyote, yaani kulea watoto wenzao na kitabu.
Wakuu huku ni kufikiri kwa njia gani? Na hili ndio gazeti la seriakali ya Tanzania.
Huyu jamaa anajua lolote kuhusu constitutional right za Mtz? kwamba elimu ni haki ya msingi regardless? F****c///k.
Nashindwa cha kusema ila angekuwa karibu nami ningemtemea za usoni. Potelea mbali .Nyie wenzangu vipi.Mwaliojane hilo?
Wakuu huku ni kufikiri kwa njia gani? Na hili ndio gazeti la seriakali ya Tanzania.
Huyu jamaa anajua lolote kuhusu constitutional right za Mtz? kwamba elimu ni haki ya msingi regardless? F****c///k.
Nashindwa cha kusema ila angekuwa karibu nami ningemtemea za usoni. Potelea mbali .Nyie wenzangu vipi.Mwaliojane hilo?