Ujengelele
JF-Expert Member
- Jan 14, 2008
- 1,253
- 22
heri ya mwaka mpya kwa wote!
Watoto wa uswazi wana ujanja mwingi, ikiwa ni pamoja na kutumia vitu vingi visivyo rasmi. Mfano kuna mafuta mafuta, madawa huwa wanatumia ndio maana unaweza kuwaona wako bomba kumbe feki. Hebu, nikuulize, haujawahi kuagwa anaenda washroom 5 or 10 minutes before the game? Kama yes umeliwa. Siwezi kutoa details zaidi hapa.
wizi mtupu! haya yanaweza kabisa kufanywa na hata hao wa kutoka ushuani. Au za kwao ni za kubandika ukishatumia unabandika mpya na ile nyingine haina kazi tena?