Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
wapwazi na mabinamuz ninataka kufahamu nani mkali kati ya uswazi na bush. uswazi wamesifiwa sana according to nguli's sredi je na wale wa bush ambao ukikaa vibaya viatu unavikuta kwenye friji, gari likipita lazima asimame na huwa wanasalimia kila mtu n.k, sifa kama zile alizosema prof J kwa wale wanaoifahamu hiyo nyimbo. tuachane na lile suala la wakishajua mjini huwa hawakamatiki (vichechez) tuache hilo, tuangalie heshima zao, maadili, mila na desturi zao. nani anafunikaaaa?