Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
wasichana wa ifm,udsm,cbe,ustawi ndo kundi kubwa linaloongoza kujiuza club ambiance sinza wakitafuta ada za chuo na wengine waliookosa.....mikopo hivi viongozi wa vyuo vyenu wanafahamu hili
wasichana wa ifm,udsm,cbe,ustawi ndo kundi kubwa linaloongoza kujiuza club ambiance sinza wakitafuta ada za chuo na wengine waliookosa.....mikopo hivi viongozi wa vyuo vyenu wanafahamu hili
hivi hamna solutions ya kuwasaidia hamuoni wanadhalilika kwani selikali halifahamu hili......jamani hii ni aibu jana nilikuwa na msichana wa ifm anasema anatafuta ada ya chuo ......
ndio demokrasia, sasa hata machinga anaweza kuji-nafasi na msomi. dar kwa kweli raha
Anasoma degree,cheti au diploma...
hivi hamna solutions ya kuwasaidia hamuoni wanadhalilika kwani selikali halifahamu hili......jamani hii ni aibu jana nilikuwa na msichana wa ifm anasema anatafuta ada ya chuo ......
kweli Hamy D, Mi nisahongea na kicheche hapo Ambiance akaanza hizo niko SUA natafuta ada pia namsomesha mdogo wangu....nikamuuliza uko course gani akaniambia marketing; Kidogo nicheke kwa sauti! wengi fiksi, wanafunzi hawajiuzi kwa staili hizo...zao huwa ni kukaa na kusuiria ofa za bia then baada ya hapo unaweza kung'oa mzigo...na huwa hawatangazi dau mbele; unawatoa asubuhiwewe ungemwambia akutajie course content ya hiyo Taxation ya hapo IFM, Mda mwingine wanakua wadanganya ili uwaone wana thamani kumbe kanyanga tu Tandale.