mabereng'ombe
Member
- Nov 22, 2013
- 70
- 18
Mimi afisa uhamiaji nataka unionyeshe vibari vyake vya kuishi hapa nchini. Maana magaidi wameanza kunyemelea afrika mashariki wanakuja kwa njia hiyo hiyo ya kutafuta wa chumba
Nipe simu yake huyo dame
Jamani wanaojua tabia wa wahabeshi mnijuze yaan( wenye asili ya ethiopia) ndo wanaitwa wahabeshi.kuna msichana mmoja niko nae na mahusihano nataka km mambo yakienda poa nioe kabisa