mr_politician
JF-Expert Member
- Sep 20, 2015
- 632
- 442
yaaa but, kwa ckuizi niwachache xana wanao fanya figisu izo za kichawiHaiwezi ikawa wote mkuu!!! Ika ndo kinachojulikana!
yaaa but, kwa ckuizi niwachache xana wanao fanya figisu izo za kichawiHaiwezi ikawa wote mkuu!!! Ika ndo kinachojulikana!
Teh teh teh teh teh tehOa ufe mkeo atajirike
Hahahawanajua kupika mikate
HahahaUkijifanya kuchepuka tunakutoa kafara
Watata ukweli kwao ni shida!wakuu,niko katika mahusiano na binti wa kikinga na kwa namna tunavyoenda nimemwahidi kumuoa as soon as possible.ila kabla ya yote naomba kupewa sifa za wasichana wa kikinga ziwe nzuri au mbaya poa tu.